Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wana jukwaa naombeni kuuliza inawezekana mtu kuajiriwa na taasisi za serikali mbili tofauti? Mfano nimefanya usahili IFM na UDSM halafu majina ya IFM yakatoka mapema kabla ya UDSM hayajatoka...
0 Reactions
1 Replies
433 Views
Habari wana Jamii, Ninatafuta mtu anayeweza kuendesha nyumba ndogo ya wageni iliyoko mjini Mwanza, maeneo ya Buswelu. Mwombaji kazi awe na elimu na uzoefu katika mambo ya biashara na kompyuta...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za humu jf, nina tafuta kijana (akiwa wa kike itakuwa vizuri) kwaajili ya kuuza na kutembeza juisi za matunda maeneo mbalimbali. Umri: Chini ya miaka 24 Location Dar es Salaam (Kigamboni)...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekua nikifuatilia malalamiko ya wadau wengi kuanzia jinsi mfumo ama sijui ni software of which I doubt possibly ni burungu la watumishi wenye vichwa vizito ama bora liende huyu weka pale huyu...
5 Reactions
34 Replies
3K Views
Habarini, Nimeomba ajira PSRS hivi karibuni, tangazo halikuwa na kipengele Cha any selected or short listed member will be informed for interview. Swali je atakaechaguliwa ataajiriwa moja kwa...
0 Reactions
5 Replies
721 Views
Hawa jamaa walitangaza nafasi ya business Specialist kwenye kiwanda Chao kilichopo mkuranga. Nilifanikiwa kuitwa interview Leo ila ikatumwa sms kuwa zoezi limehairishwa mpaka watakapo toa taarifa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini kama kichwa kinavyojieleza tunahitaji mtu mmoja wa kufanya site reprentative tipper office Kigamboni DSM dated 28/07/2023 time 10:30 am Uwe na vitu hivi personal prptective equipment...
2 Reactions
88 Replies
3K Views
Natafuta mfanyakazi wa Stationery Ambaye anaweza Fanya kazi Singida vijijini Mshahara Mshahara 120,000/- Kodi nakulipia miezi 6 matumizi ya mwezi wa kwanza nakupatia godoro na Jiko la kupikia...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu mwema. Kuna miradi mingi inaendelea hapa mjini Dar es salaam. Kuna mwendokasi maeneo mbalimbali wanatengeza. Kuna barabara za mitaa zinajengwa maeneo mbalimbali, lakini yote hii huwa naona...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu. Lengo la kuandika uzi huu ni kuomba nafasi ya kazi. Nina uzoefu wa kazi katika Microfinances kama loan officer, Data clerk, pia katika NGO's kama social worker. Pia nina...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu, Mimi ni kinyozi mzoefu natafuta kazi ya kunyoa, nipo tayari kufanya kazi Dar au Arusha, Aliye tayari a nitumie mawasiliano yake pm.
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Mara kadhaa shirika la kuhudumia Wakimbizi UNHCR wamekuwa wakitangaza nafasi za kazi hususan kwenye field office za Kibondo, Kasulu na HQ. Wana website yao ambayo una create account kisha...
2 Reactions
3 Replies
816 Views
Kwa matatizo yote ya data usisite kunitafuta. 0654629098 Elimu: degree in official statistics Ni mtaalamu haswa kwa maswala yote ya data. Tunafanya data ziwe rahisi katika kufanya tathmini ya...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Wanahitajika specialist tajwa hapo juu kwa ajira full time Tabora. Kama una mtu unamjua ama inakuhusu njoo PM
0 Reactions
13 Replies
901 Views
Habari ndugu zangu naomba msaada wa mawazo. Hivi karibuni nimepata kazi mkoa fulani kazi yenyewe ni kua nadeal na wagen tourist. Tatizo langu ni kua kuanzia nireport kazini wafanyakazi wenzangu...
10 Reactions
67 Replies
5K Views
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam amepokea kibali cha kutekeleza Ikama na Bajeti kwa Ajira mpya katika mwaka wa Fedha 2022/2023 yenye Kumb. Na. FA.97/228/01’TEMP’/06 ya tarehe 06...
0 Reactions
2 Replies
770 Views
Habari wadau. Tumefungua Ofisi mpya studio tunatafuta kazi za video production, kuandaa matangazo, video shooting, Event Management kwa mwenye dili hilo anicheki tuangalie tunafanyaje. NB...
0 Reactions
0 Replies
317 Views
Habari Wanajf nawasalimu kwa jina la jamhuri wa muungano wa Tanzania?.Bila kupoteza muda nimekuja kwenu ndugu zangu najua humu jf nitapata ushaurii utakaonisaidia maake naamini jf ni kisima Cha...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Back
Top Bottom