Hongereni wote mliopata mliopata ajira katika kada ya Ualimu na Afya ni wakati wa kwenda kulitumikia Taifa na kuwafuta machozi wale waliokuwa wanawategemea makubwa hasa baada ya kumaliza Elimu...
Habari za majukumu wana JF. Kuna nafasi moja ipo.
Position: Sale man
Work station: Iringa mjini
Education level: form four (Atleast division three with Pass in mathematics and English). It's...
Jamani wana JF,
Kuna ndugu zangu wamefanikiwa kuitwa kwenye usaili wa Msaidizi wa ofisi mahakamani katika zile nafasi walizotangaza tume ya utumishi wa mahakama.
Sasa, presha ni juu ya maswali...
Kutokana na Ugumu wa maisha na ujana hausimami nimeona kuja hapa kwa ajili ya kusaka fursa kwenye jukwaa hili.
Elimu: Bachelor Degree of Geography and Environmental Studies.
Experience and...
Awali ya yote nashukuru kwa Muda wako kusoma hii thread Yangu
Nimeanzisha uzi huu kwa malengo mawili moja ikiwa ni kutafuta ajira yoyote ilio halali na pili ushauri maana unaweza kunitoa hapa...
Nimejisikia kuwapongeza wale wote mliobahatika kuchaguliwa kulitumikia taifa hili.
Hii ni fursa njema hasa kwa watoto waliosomeshwa na kutegemewa na familia zao.
Do not look down kwa kejeli za...
Habari za uzima wana Jamii wenzangu,
Naomba kufahamu namna ya uwaandishi wa Cv (Curriculum Vitae) hasa kuhusisha projects mbali mbali nilizofanya na company tofauti tofauti je, ni sahihi kuandika...
Position: Accountant II – 4 posts
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To prepare Financial Reports;
ii. To prepare bank reconciliation;
iii. To record and...
Job Title: Data Clerk – 38 Positions (Temporary)
Reports to: Strategic Information (SI) Regional Lead
Duration of the Contract: June – Sept 2023
Start Date: Mid-June 2023
Location: Mbeya...
Position: Engineer II (Environmental) – 1 Post
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To conduct environmental research on road maintenance and development...
Hongereni kwanza kwa kuajiriwa
Pili nadhani baadhi mlikuwa mmeajiriwa private sector hususan watu wa afya hata walimu pia.
Naombeni kama ingewapendeza mtupe details za sehemu (vituo) mlivo acha...
Position: Post Procurement Officer II – 6 POST
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To prepare estimates and budget for office supplies;
ii. To manage...
Position: Post Legal Officer II – 2 Posts
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To review law, investigates facts, and prepare legal documents;
ii. To...
Habarini.
Nahitaji mtu wa kuchora zile 3D pictures kwaajiri ya presentation ya namna project itaonekana mara itakapokamilika eneo la ujenzi.
Kama una uwezo huo nicheki DM au hata hapa.
Asante.
Mara zote huwa tunashauriwa kutizamana machoni wakati wa usaili wa kazi. Kwangu mambo sio mazuri kama nafanyiwa usaili na mwanamke, huwa siwezi kumwangalia machoni kwa muda mrefu.
Je, kuna mtu...
SEHEMU YA KWANZA:
July 2017 nilihudhuria kikao cha chama cha mchezo wa kuogelea Tz (TSA) kilichofanyika kwenye ukumbi wa Paparazi pale Hotel Sleep Way ~ Masaki. Kwa wakati ule nilikuwa ni...
Position: Head of Business Development - CIC (2286)
Reporting to: Managing Director – CIC
Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker
Job Summary
The Purpose of the job is to be responsible for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.