Wakuu kwema?
Naomba kueleweshwa, ukiombwa Phone Extension wakati wa kufanya maombi ya kazi unatakiwa kujaza nini hapo? Na hiyo Phone Extension mtu ambaye hana anaweza kuipata wapi?
Wakuu nimeitwa katika interview kitengo cha sales lakini sifahamu matumizi ya EFd machine katika kutimiza majukumu yafuatayo
1.ku print risiti
2. Ku print daily z report
3. Kutengeneza report...
Habari za leo Mabwana na Mabibi husika na kichwa Cha Habari tunatoa pikipiki za mkataba kwa ma dreva Boda boda wanao hitaji pikipiki. Tunapatikana kariakoo Dar es salaam
Mawasiliano: 0659160000
Habari ya majukumu wana JamiiForums,
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu, kuna waraka ambao umetolewa na wataalamu wa maabara kuhusu ajira zinazotolewa na serikali.
Binafsi Nimesoma...
Wadau habari zenu! Mimi natafuta ajira au kazi nipate kujikimu.
Nina degree ya Public administration lakini pia ni fundi welding kuchomea mageti, milango madirisha n.k , yeyote mwenye connection...
I used to be a Uber driver in the City of Dar es salaam for a year and half, currently I don’t have a car, I am looking for someone who can hire me as his/her driver for a contract or normal way...
Habarini ndugu zangu,
Mimi ni muhitimu wa kozi ya Bachelor of Science in Nursing (Nursing Officer). Nilikuwa naomba kama kuna mwajiri au mtu yoyote mwenye connection ya kazi inayoendana na kozi...
[Tunakamilisha Mradi]...
Ufungaji wa pump, uwekaji wa tenki na kufunga mifumo ya maji kutoka kisimani kupeleka katika nyumba kwa ajili ya matumizi
√ Pump Brand: Doyin Submersible Pump
√ Power...
Habari za asubuhi.
Kwa wale ndugu zangu wasaka kazi na wenye ujuzi mkeka ni huu hapa.Mtakaopata kazi Tanga muwe makini maana ndiko Mapenzi yalipozaliwa.Be carefully!
Position : Driver – 3 Posts
Reports to : Head of Division
Contract type : Permanent and Pensionable
Job Purpose:
To carry out a range of motor vehicle driving duties and ensure passengers reach...
Hivi haya mashirika ya umma huwa yanawapataje watumishi wake, au huko kwenye hayo mashirika huwa hakuna watu wanaostaafu au kufa ili nafasi zibaki wazi?maana sijawahi kukutana na matangazo yao ya...
Habari ndugu,
Mimi ni mtumishi wa umma. Nimefukuzwa kazi na mwajiri wangu. Sikuafiki maamuzi kwakuwa nimeonewa nimekataa rufaa Tume.
Najitokeza kwemu kuomba kazi ili niweze kuendesha Familia na...
Interested parties are hereby invited to tender for the “Production and Supply of school uniforms at The School of St Jude, Sisia Campus, Moshono, Arusha”. Bidders are invited to submit their...
Habari za wakati Wana JF, mimi ni muhitimu wa SUA katika FANI ya horticulture nipo natafuta nafasi ya kazi KATIKA FANI husika(kilimo) naishi mkoa wa songwe ila nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote...
Hello jf,
Najua huku kuna wataalamu na maHR wenye uzoefu na hizi mambo.
Kuna mdogo wangu hapa anatafuta kazi haitwi hata interview,sisi wengine hatuelewi haya mambo tuliishia la7 B tukaingia...
Sekretarieti ya Ajira inatoa siku chache kuita watu kwenye usaili mfano kada ya sheria majina yametoka jana tu leo watu waende kwenye usaili hii imekaaje mtu anayeishi kigoma kwel ataweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.