Habari za majukumu wanajukwaa.
Nimeona kama vile waajiriwa wengi wapya kwenye taasisi mbali mbali kwa sasa ni UDOM graduate's ukilinganisha na vyuo vingine. Mfano kuna taasisi moja mwezi uliopita...
Lini siku hela zetu za lodge na nauli za kwenda dodoma kwenye usaili wa utumishi zitarudi ...
Tunatumia Hela nyingi Sana Sana.
Tunaishia Kwenye msitari wa NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW.
Habari zenu wana jamvi natumaini wote ni wazima.
Bila kupoteza muda Niende kwenye mada kuu...Ni wazi kabisa kwamba Mimi nasumbuliwa na changamoto ya usikivu (tinnitus) "hali ya kusikia sauti...
Dare es salama jiji lenye joto kali na foleni ndefu nyakati za mchana karibu kwenye barabara zote. Sasa unapokutwa changamoto hii wala usiwe na shaka unachokiwa kufanya ni kuchukua simu yako na...
BESIX Ballast Nedam (BBN) Limited, the CONTRACTOR for the Engineering, Procurement and Construction of the Jetty and Load Out Facilities in the Tanga Bay for the East African Crude Oil Pipeline...
BESIX BALLAST NEDAM (BBN) LIMITED JOB ADVERTISMENT – Site Nurse
BESIX Ballast Nedam (BBN) Limited, the CONTRACTOR for the Engineering, procurement and
Construction of the Jetty and Load Out...
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
BACKGROUND
The Eastern Arc Mountains Conservation Endowment Fund (EAMCEF) is a Trust Fund that was established as a mechanism to provide sustainable financing for...
Ndugu zangu wana jamvi, habari za muda huu?
Mimi nina jambo langu hapa kuhusu serikali kuwapa ajira vijana wa JKT, kila mwaka serikali huchukua maelfu ya vijana ambao huenda kujitolea huko Jkt...
Habari wana jamvi!
Naomba kuuliza market availability ya assistant lecturers wa History ukoje? Je endapo mtu ana GPA ya 3.8 undergraduate na 4.5 masters anaweza kupata nafasi mapema kutokana na...
Hatimaye kwa mara ya kwanza nimelipwa mshahara tangu nimeanza kazi kwa huyu Mhindi.
Lakini kulipana mishahara kwenyewe mpka mshikane mashati yaani mpka muanze kupelekeshana wee ndo mshahara...
Habari za saa hizi Wanajamii Forums,
Kwa mtu anayejua, Mwenyekiti wa Mtaa na Diwani wanalipwa mshahara kiasi gani, na wakistaafu wanalipwa shilingi ngapi?
Habari wakuu.
Naimani wote mko salama na majukumu yanakwenda. Ninatafuta Kazi ya muda mfupi/mrefu ya kufanya data analysis and visualization na creating of dashboard kwakutumia Excel. Kama...
SEM BUSINESS COMPANY:Ni kampuni iliyosajiliwa nchini Tanzania chini ya mamlaka ya usajili wa makampuni nchini Tanzania BRELA(Business Registrations and Lincensing Agency) chini ya kipengele cha...
Moshi Kilimanjaro
Kijana wa miaka 28 Anatafuta kazi Moshi-Kilimanjaro
Kamaliza Internship ya Medical Doctor
Yuko tayari kufanya kazi yoyote halali ndani ya Moshi
Sex: Me
Age: 28
Location: Moshi...
Habari wadau,
Naomba kupata elimu kuhusu hili suala langu hapa.
Nilipitisha barua yangu kwa mkuu wangu (DG) kwa lengo la kuomba nafasi taasisi X. Je, wakati wa kuomba kibali nalazimika kupitisha...
Naomba kama kuna mtu ana ufahamu na uhandisi wa MELI ( marine engineer) acomment hapo, kwa faida yangu na wengine.
Vitu kama masomo yake, ajira, mshahara, ugumu wa kazi n.k. chochote unachojua...
Natafuta kazi ya utunzaji kumbukumbu.
Nina Diploma ya Utunzaji Kumbukumbu niliyopata katika Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) na nina uzoefu wa miaka mitatu katika kazi hiyo.
Mwenye kuhitaji mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.