Naitwa Ayoub, Natafuta gari ya hesabu kwa ajili ya Bolt na Uber. Ninazo account zote za kuendesha tax online (Uber, Bolt, Paisha, Little, Moovn etc)
Nipo tayari kwa kazi nachohitaji ni gari tu...
Habari,
Wadau Kwa majina naitwa Hassan Mohamed naishi Yombo Vituka, temeke ninatafuta gari ya hesabu au mkataba ya Uber na Bolt Kwa yeyote mwenye uhitaji na dereva nipo tayari muda na saa yeyote...
Kwa jina Naitwa Ernest ni dereva Uber na Bolt mwenye uzoefu katika kazii hii nina leseni yenye madaraja yote nilikuwa natafutaa Gari ya kazi iwe yenye private namba Au commercial kwa ajili ya...
Habari, mimi ni kijana wa kitanzania na mkazi wa daresalaam tabata, nipo mbele yenu natafuta gari kwa ajili ya biashara ya uber na bolt nipo tayari kwa mkataba au hesabu.
Mawasiliano;
0622570507...
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
VACANCIES
The University of Dar es Salaam invites applications from suitably qualified Tanzanian Public Servants who wish to be considered for transfer to the...
USIPOZINGATIA HAYA, UTAISHIA KU-APPLY KAZI BILA KUITWA KWENYE INTERVIEW
Vijana wengi sana Wahitimu wa vyuo wamejikuta katika janga la kuishia ku-apply kazi bila kuitwa kwenye Interview. Kwa miaka...
Job Title: Project Officer (1 Position)
Job Location : Magu - Mwanza
Magu Poverty Focus on Older People Rehabilitation Centre (MAPERECE) in collaboration with Amref Health Africa Tanzania is...
Habari za Asubuhi wakuu,
Naomba kuuliza kwa anaefahamu vizuri ,Eti ukifanya Mtihani wa kuandika (written) na kufaulu kuitwa usaili wa mazungumzo (Oral) teari kuna uwezekano ukaitwa kazini...
ABOUT GEITA GOLD MINING LTD
Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an...
Legal Officer, Dar es Salaam, Tanzania.
Job Purpose
This role is responsible for overseeing the legal aspects and compliance of the business in the jurisdiction of Watu (Tanzania) Limited...
Stanbic Bank Tanzania is a full-service commercial bank that specializes in providing facilities and services to public and private sector corporations.
Job Overview.
Business Segment: Business &...
Post Title: Information Technology Officer
Interesting Career Opportunities at WFT-Trust
WFT-Trust is the first and only women’s rights fund in Tanzania that has been in existence since 2008 and...
Ndugu zangu habarini,
Mimi naitwa Caroline ni mwanachama wa mda mrefu wa JF natafta kaz yoyote halali, katika Duka, kiwandani, supermarket n.k
Elimu yangu nina degree ya human resource naombeni...
Org. Setting and Reporting
The post is located in the Registry, Human Resources Section of the International Residual Mechanism for Criminal Tribunals (IRMCT), Arusha Tanzania Branch. The...
Nimekuwa nikifuatilia kazi hii ya usafirishaji wa magari maarufu km IT kwa muda sasa lakini sikupata kufanikiwa wazee wa clearing and Foward au mdau yoyote mwenye kufahamiana na Agents wanaohusika...
Habari,
Ndugu Kaka na dada zangu poleni na majukumu ya kazi, nimeanzisha huu uzi ili kupeana madini mbalimbali mbalimbali juu ya kuweza kufanikisha kufaulu usaili wa utumishi.
Kwa watu walio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.