Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wakuu eti wizarani kama wizara ya fedha mshahara ni shngp wanalipa
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Natafuta mwl anayeweza simamia Day care kama mwalimu mkuu Shule inapatikana Kimara Mwisho.(njia ya Dawasco) Sifa: 1.Awe na sifa ya uongozi. 2.Awe amesomea Ualimu. 3.Uzoefu wa miaka 3 akiwa...
2 Reactions
5 Replies
513 Views
Nitoe shukrani zangu zote kwa wadau wote wa jukwaa hili. Kupitia elimu ya humu nilizingatia maoni ya wadau jinsi kutoboa au kupata kazi serikalin kupitia utumishi. Hatimae leo naenda kuchukua...
5 Reactions
12 Replies
856 Views
Habari ndugu zangu!! Natafuta kazi ili nijikwamue kiuchumi maana mtaani ni kugumu sana. Elimu: Degree ya Computer Science UWEZO 1. Programing (C++, Python, Visual basic) 2. Computer Mantainance...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Director General of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) wishes to invite qualified Tanzanians to fill vacant posts in District Offices as shown below: 1.0 INVESTIGATION...
14 Reactions
337 Replies
49K Views
Habarini za wakati huu? Kutokana na wadau wa jukwaa hili uwa bize na upendo wa baadhi ya kazi zinazotafsiriwa kama zenye kipato uzuri na kwa kiwango iubwa wadau na watafutaji wamekuwa hawaipi...
7 Reactions
241 Replies
29K Views
Habari, Ni matumaini yangu wote wazima. Mimi nataka kufahamu kuhusu jinsi ambavo naweza kujitolea kwenye hizi NGOs sema sijui taratibu zake zinakuwa vipi. Je ni kwamba mpaka watangaze au sio...
1 Reactions
27 Replies
1K Views
Uzima upo wanaJamvi? Naomba kwa yeyote aliye tayari, tuungane week ijayo kuzunguka viwandani kutafuta KAZI Mimi naishi Dar es salaam Sina kazi kwasasa, Nahitaji mwenye nia kama yangu tuunge...
3 Reactions
7 Replies
764 Views
Nina mdogo wangu ambaye amesomea lab technician ngazi ya diploma sasa amekuja town huu mwezi mzima sasa umekata ni mwendo wa kukaa tu ndani sielewi hata naanzia wapi kumtafutia hizi private...
1 Reactions
19 Replies
986 Views
Wana JF natafuta mtu mwenye cheti cha uuzaji wa maduka ya dawa ADDO, akipatikana jinsia ya kike itakua vizuri zaidi. Mkoa ni Ruvuma, Songea mjini.
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Mkapige DEPO vijana
2 Reactions
49 Replies
8K Views
Baada ya kimya kwa muda mrefu kwa changamoto za hapa na pale za kidunia nina mshukuru mungu kunipambania na kunipa afya njema na kurudi imara. Wakurugenzi wangu mim ni kijana wa kitanzania ambae...
0 Reactions
1 Replies
859 Views
Habari, Kijana, yoyote mzoefu wa KUCHOMA chips na mishikaki aliewahi Fanya hiyo kazi hapa Dar es Salaam au sehemu nyingi tuwasiliane aje PM. Au kama anafanya tayari kuna ila hana mtaji wa...
5 Reactions
12 Replies
857 Views
Jamani kama kuna mdau ana link ya group za whatspp zenye matangazo ya ajira atupiee link Tuone kama tunaweza kubahatia kucheki michongo
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu, nina miaka 25. Nahitaji kazi, elimu yangu ya kidato cha nne. Naishi Gongo la Mboto Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
31 Replies
1K Views
Habari, kwa muda mrefu nimekua nikitafta nafasi ya kazi hata ya kujitolea katika hospital hapa dar es alaam bila mafaniko. Elimu yangu ni diploma in medical laboratory science with more than 3...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
ST JOHN’S THE UNIVERSITY OF TANZANIA EMPLOYMENT OPPORTUNITY St John’s University of Tanzania (SJUT) is a relatively young but dynamic university aspiring to become a global player in the...
1 Reactions
0 Replies
642 Views
Kiufupi, mimi ni mhitimu wa Shahada ya uchumi wa maendeleo ya jamii(CED) Mwaka jana mwezi wa 8. Nipo mkoani kigoma ndipo nilipozaliwa na ni nyumbani. Baada ya kitambo kidogo, nimeamua kunyoosha...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
TAMISEMI MSAIDIENI MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN KUZUIA MALALAMIKO YA NAFASI ZA AJIRA 21,200 ZILIZOTANGAZWA KADA YA ELIMU NA AFYA Na. Matuguta Zax Nampongeza sana Mhe Rais Dkt Samia Suluhu...
10 Reactions
55 Replies
5K Views
Watu wengi najua wanafahamu zaidi recruitment portal ya serikali yani ajira portal. Lakini zipo portal nyingi tu ajira za watu tofauti tofauti. Mimi binafsi nawakubali cvpeople walishanipa...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom