Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Clinical Operations Officer (Quality) Job Summary Africa Healthcare Network (AHN) is building the first dialysis chain across East Africa, providing high-quality, life-saving dialysis at an...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Title hiyo apo juu maan kuna mtu kaniambia kapata kazi duce so naombeni comments zenu kwa aliyetafutwa..maan kuna ndugu yng yupo roho juujuu...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Niombe ajira shirika gani au Taasisi gani inayolipa vizuri na wanatoa matangazo mara kwa mara ya procurement.
1 Reactions
5 Replies
781 Views
Kwa majina naitwa nassor maneno,naishi dar es salaam vile vile nina certificate ya clearing and forwarding , pamoja na hayo me nilkuw naomb kaz kwa mwenye connection ya clearing and forwarding au...
0 Reactions
0 Replies
480 Views
Kaimu Katibu ma Secretariat ya Ajira. Siku za hivi karibuni kumekuwa na manung’uniko ya watu wanaofanya usaili wa mchujo jinsi secretarit inavyosimamia usaili huo. Kwanza, kumekuwa na mlolongo...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Mfanyakazi Wa salon ya kike anahitajika awe anaweza kusuka mitindo yote, kuset na kumake up Jinsia yoyote. Umri kuanzia miaka 18[emoji3595] Mahali salon ilipo ni Buza kwa mpalange. Kwa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
mwalimu anahitajika mwenye sifa kuu zifuatazo *elimu ya cheti au diploma *awe na uwezo wa kuwafundisha matukio watoto ya kwenye mahafari( garaduation) *awe na uwezo wa kufundisha masom ya baby...
1 Reactions
1 Replies
601 Views
Habarini Jamaa yangu alienda kufanya interview chuo cha mbeya (MUST)kwa nafasi ya tutorial assist wa electrical Usaili huu ulikuwa umegubikwa na mambo mengi ya kufikirisha Jambo la kwanza...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Aisee bora hizi paper wawe wanatunga tu utumishi wenyewe. Kiukweli paper wametunga bunge wenyewe na maofisa wa utumishi wao leo walikua ni wasimamizi wa mchakato tu ila kuanzia materials zilikua...
12 Reactions
76 Replies
9K Views
Hello Guys! Kwa mahitaji ya fundi umeme wa majumbani, pamoja na cctv camera kwa ulinzi zaidi pia electric fence yani fensi za umeme Contact: 0653555549/ 0626750480
0 Reactions
0 Replies
378 Views
HABARI KAMA SIMU YAKO INA SHIDA YA SOFTWARE, Mfano kwenye ; APPLICATION MESSAGE STORAGE (Simu imejaa) CALLS NOTIFICATION USIZOZIELEWA NA ZINATOKEA KILA MARA KUTUNZA FILE ZOTE GOOGLE ILI...
0 Reactions
4 Replies
892 Views
habari wakuu ni matumaini yangu ni wazima kwa majina naitwa KELVIN GODFREY jinsia ni mwanaume wa miaka 25, ni nimhitimu kozi ya kilimo na mifugo (diploma). Naomba kama kuna yeyote ataweza kuwa...
1 Reactions
2 Replies
732 Views
Hellow habari zenu....natumaini ni wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kimaisha Mimi ni mhitimu wa 2020 ngazi ya shahada (degree)..nimesoma bachelor ya ualimu katika masomo ya geography na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY (TANROADS) is a Semi-Autonomous Agency under the Ministry of Works, Transport and Communications established on July 1, 2000 and is responsible for the day-to-day...
0 Reactions
2 Replies
672 Views
Utangulizi Glaness graphics and design inamilikiwa na Flydream Company Limited. Inahusika na huduma mbalimbali mfano kutengeneza flyers, banners, video editing, video shooting, T-shirt printing...
0 Reactions
4 Replies
784 Views
- Essence Driving Schools Afisa masoko (01) na afisa huduma kwa- wateja (01) shule ya udereva anahitajika Sifa 1. Uwezo wa kuongea/ushawishi vizuri sana na wateja 2. Uwezo wakufanya kazi yenye...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu ambao wamefanya amptitude test ya nmb Direct sales staff vipi wameitwa kwenye oral au bado
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Hi wana jamiii natumaini mko salama Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni Binti wa miaka 21 sasa ambaye nimeshidwa kumaliza degree yangu SAUT kwa sababu ya changamoto ya Ada na mahitajii...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Soma tangazo hapo chini na uchukue hatua kama una sifa. Usipoteze muda wako kutuma maombi kama huna sifa, kila la heri vijana.
0 Reactions
1 Replies
635 Views
Back
Top Bottom