Mimi ni kijana wa miaka 28 napatikana arusha mjini, Elimu yangu ni shahada ya utalii na mambo ya kale.
Naweza kazi za camps,Guides, uhifadhi, afisa masoko,Mails na intenary na kazi yeyote katika...
Inasikitisha sana kuona kati ya maelfu ya graduates na kati ya watanzania zaidi ya milioni 60, hizi ndizo nafasi za kazi zilizopo kwa sasa! Wakati huo vigogo wakiendelea kutumbua fedha za serikali...
Hivi kama tume ya ajira/Chuo cha Ardhi mnakosea matokeo ya watu 8 tu, inakuwaje kwa watu 100-800?
Ni kweli watu wanawekewa matokeo yao kwa usahihi? Mtu wa quality assurance anafanya nini mpaka...
Mimi kama watu wengine wengi tunaotafuta ajira serikalini, niliomba nafasi za kazi zilizotangazwa mwezi MAY.
Jambo la kushangaza ni kwamba miezi mitano inaenda kuisha bila kuitwa kwenye usaili na...
Habari,
Mimi ni binti mwenye miaka 24 nimemaliza chuo mwaka huu course ya sheria nina uhitaji wa kazi yoyote hali ya kuniingizia kipato hata iliyo nje ya field yangu.
Habari za kazi wapendwa!
Mimi nina maswali mawili
Endapo mtu ameomba nafasi hizo hapo juu mbili na ameitwa zote mbili na Sekretariat ya Ajira je kuna uwezo wa Mtu huyu kuomba afanye zote...
Habarini ndugu zangu,
Kama jina “linavyo-display” hapo juu. Baada ya kuhitimu bachelor’s degree miaka kadhaa iliyopita na kusambaza CV ofisi mbali mbali, hatimaye mapema mwaka jana nilipata...
Wakuu poleni na majukumu. Tafadhali sio mimi mpangaji mwenzangu. Alikuwa anafanya kazi kariakoo kwenye duka la nguo ila kwa sasa biashara haiendi vizuri bosi imebidi asimamishe biashara huyu dada...
Tuna shughulika na kazi zifuatazo:-
1: Ku filling return
2: Kutengeneza vitabu vya kimahesabu
3: Makadirio ya kuanza biashara
4: Ushauri wa kodi (TAX CONSULTANT)
5: kuagiza mzigo nje ya nchi...
Mimi ni kijna wa miaka 22 ,naishi dar es salaam kwa azizi ally Nimeamua kutumia muda wangu kusaidia watu kazi mbalimbali hii nikutokana na wengi kubanwa na majukumu ya kila siku Manunuzi sehemu...
Habari wapendwa mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25,ninatafuta kazi kwenye sheli nlikua naomba kuuliza barua ya maombi ya kazi naipeleka wapi au nifanye nini ili niweze kupata maana nina...
Habari zenu wana jukwaa pendwa kbisa,mm ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kozi ya accounting, natafuta kazi yeyote kuanzia iwe asubuhi mpaka saa 11 nipo tyr kupokea malipo yeyote:
Nina...!
1.TALLY...
Mimi hii kitu bado sijaielewa, yani Utumishi unawapa historia yako yote ya kielimu wako nayo mkononi. Ina matokeo mazuri mpaka yamekufikisha ulipofika, na vyeti ulivyopata vimetolewa na taasisi...
Habari!
Katika kuhudumia watu (wateja) kama mlinzi ndani ya miaka 6 napenda kuteta na vijana mnaosaka ajira. Ratio ya ajira na wasomi sasa imekuwa tofauti sana.
Sasa kinachomata ni connection na...
The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania’s Central Bank is looking for suitably qualified young Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant...
The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania’s Central Bank is looking for suitably qualified young Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant...
NATAFUTA MFANYAKAZI WA STATIONARY
Awe msichana mwenye umri wa miaka 22 - 30.
Awe na ujuzi wa lugha ya Kiingereza na Kiswahili (Kuandika na kuongea)
Awe na elimu ya kidato cha nne na kuendelea
Awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.