Habarii wanajamvi mimi bhana nimeitwa kwenye interview Tutor (Rural development), na ni mara yangu ya kwanza na Inafanyika jumatatu sijui hili wala lile... kwa wenye uzoefu basi na hizi mambo...
1.0 Background: Mwenge Catholic University (MWECAU) is a secular, private and non-profit making institution of higher learning owned and managed by the Tanzania Episcopal Conference (TEC).
The...
Habarini wakuu humu ndani natumai ni wazima nyote.
Bila ya kupoteza muda rejea mada tajwa hapo no Dada anatafuta kazi ya kuuza duka nk.
Kwa yeyote mwenye kuhitaji huduma yake
Mawasiliano...
Mambo job seekers wenzangu?
Kuna mwenye fununu ya hawa utumishi watatoa lini ule mkeka wa kazi za tra ambazo deadline ilikua 4/11/2021?
Tunataka tukajaribu bahati zetu.
Naitwa Fidelisi Fredy Sanya Nina umri wa miaka 22 naishi Dar es Salaam nina cheti Cha kidato Cha nne, Nina cheti Cha V.I.P driver kutoka chuo Cha Taifa Cha usafirishaji N.I.T. Pia Nina Namba ya...
Kamishna Jenerali wa Jeshi La Magereza anatangaza Nafasi za Kazi 1241- za kujiunga na Jeshi kwa Mwaka 2022.
Mwisho wa kutuma Maombi Tarehe 15 .JUNI.2022
--
Elimu yangu ni kidato cha nne. Jinsia yangu ni ke. Natafuta kazi ndani ya mkoa wa Mwanza kama inavyojieleza katika kichwa cha habari. Naombeni msaada wenu tafadhari.
Nawaomba uni DM Kama uko...
Anahitajika kijana wa sales mwenye vigezo vifuatavyo:
Kuanzia umri wa miaka 21 hadi 30
Aweze kutafuta wateja wa printing, designing, event management, social media management
Awe tayari kulipwa...
Nina ndugu yangu kamaliza chuo sasa ndo anakaa kwa ndugu yake Morogoro, kwa wanaojua sehemu mtu anaweza jishika akapata kitu chochote.
Kuuza duka, viwandani, wapi kwingine kwa Morogoro. Share...
Habari wanajamvi naomba kwa anayefahamu jinsi ya kupata nafasi ya internship au kuvolunteer katika ofisi za NHIF hususan makao makuu anielekeze tafadhari....
Kwa maeneo ya Mbagala kuelekea Mkuranga ni viwanda vipi vinatoa kazi za kutwa.
Kama unavijua taja hapa, kwa wale wenyeji wa Maeneo hayo.
Unaweza kushare hapa.
Na kama una connection yoyote kwa...
Wapendwa
Kuna dogo amemaliza Degree ya Ualimu ( Arts- Kiswahili & History)
Kama kuna mtu anaweza kumuunganishia kazi; karibu Inbox tuyajenge
Mwenyewe Yupo Dar ila anaweza kwenda mikoani...
Greetings guys of JF nimepost Uzi huu natafuta field ya IT katioa level ya diploma nimetafuta field jimekosa nimeona nije umu kwa ajili ya msaada wenu mkoa was Dar au Dodoma Niko tayari kwenda.
Wanahitajika mawakala wa super gro Mikoa yote Tanzania
VIGEZO
1. Muaminifu
2. Mchapakazi
3. Mtaji kuanzia 550000/=
Wasiliana na mkurugenzi wa masoko
Piga au WhatsApp
0767379911
Amani ya Bwana iwe nanyi
Naomba kuuliza, hivi haya makampuni ya SBL, TBL, TCC KONYAGI na mengineyo huwa wanaapply vipi kazi hata kama hawajatangaza nafasi? yeyote mwenye insight please.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.