Ndugu wanajamvi pazeni hili jambo ratiba za usaili wa NAOT na bodi ya mikopo(Heslb) sio rafiki kwa wasailiwa na inakatisha tamaa kushiriki hatimae vijana wengi wanaotafuta ajira hushindwa...
Aisee hii kitu imekaaje? Tume ya utumishi wa umma ijitahidi kuajiri wafanyakazi wa kutosha..
Ona sasa wanatumia muda mrefu sana kuita watu.. na wakiita wanaita kwa mkupuo..vuuuuup mpaka mtu...
Habari za usiku wadau..
Hivi mnaionaje ratiba ya pdf ya leo iliyotoka maana nimeiona inaumiza sana kwa baadhi ya kada na inakost sana.
Kwa mfano kuna kada interview inafanyika tarehe 28...
Jamani National auditing office of Tanzania(NAOT) wanaotakiwa kufanya usaili majina yametoka, haya hapa chini.
https://www.ajira.go.tz/baseattachments/interviewattachments/200607090713TANGAZO LA...
Habari ndugu,
Poleni na majukumu ya kujenga taifa mdogo wenu nilikuwa na maswali machache kama kuna mtu anajua jinsi intern za kampuni ya Knauf Gypsum Tanzania Ltd.
Kuanzia malipo na taasisi kwa...
The salaries for product, engineering, and other technical roles included:
Algorithm Engineer: $204,000
Android Software Engineer, Central Product Platform: $295,000
Android Software Engineer...
Serikali imekuwa na matamko mengi Sana Kuhusu kufanyika kwa usaili wa watafuta Kazi kwenye Mikoa yao au Kanda..
Ifike mahala haya matamko yakome na viyendo vionekane Ili kuwapunguzia gharama...
Wakuu kwema humu ndani... nina kazi chache hapa chini kama sample tu nilizofanya. Kama kuna mtu ambaye anavutiwa na masuala yanayohusu tasinia ya burudani katika sector yeyote ile, basi nahisi...
Habari za muda huu wanajamvi? Nimebahatika kuitwa kwenye usahili wa nafasi tajwa hapo juu, lakn changamoto n kuwa hii n mara yangu ya kwanza kwenda kufanya interview za utumishi, naomba mwenye...
Habari zenu ndugu zangu, mimi ni kijana wakike, nina umri 23, elimu yangu ni kidato cha nne, nina diploma ya Secretary, natafuta kati ya kazi hizi zifuatazo.
[emoji117]Secretary
[emoji117]Duka...
Napata taarifa kuna vikazi huko kwenye kata na manispaa kwa ajili ya kusajili makazi .ila hizi zinatoka kimya kimya mno walio kwenye magrupu yale ya sensa na postcode wanalijua hili.Na wameshaanza...
Habari za jukwaa la ajira na tenda.
Nimepata tetesi za uhakika kutoka mamlaka ya TPDC kuwa kuna mradi wa utafutaji wa mafuta na gesi mkoa wa Rukwa utaanza mwezi wa sita.
Vijana changamkieni...
Habari, kwa yoyeto alieomba kazi ubalozi wa marekani administaritive clerk au utillity clerk post za mwezi wa nane kuna aliyepata majibu yoyote.
Kuna yoyote status imebadilika kule kwenye account...
Habari.
Upo mbali na mkoa wa Dar es Salaam na:
1) Kuna ishu unataka mtu aisimamie /aifatilie au aifanikishe on your behalf?
2) Kuna bidhaa ungependa itafutwe/ ipatikane/ na utumiwe mkoani?
3)...
Kwa maeneo ya Mbagala kuelekea Mkuranga ni viwanda vipi vinatoa kazi za kutwa.
Kama unavijua taja hapa, kwa wale wenyeji wa Maeneo hayo.
Unaweza kushare hapa
Ndugu zangu natafuta ajira ya kuendesha maisha. Sehemu yoyote nafanya kazi kwa ujira mdogo tu wa laki 3, kwa mwezi.
Nipo full official documents.
My whatsapp 0743622480
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.