Hivi hizi sehemu natakiwa kufanyaje? Naombeni ufafanuzi hapo ktk verification certificate, ndo aina gani ya vyeti??
Na pili hapo saved academic transcript nayao ni nini??? Elimu yangu ni chuo...
Habari!!
Naomba kufahamu ni mamabo gani yanaweza kufanya mtu asichaguliwe kufanya hata oral interview katika process za application za kazi utumishi wa Umma.
Ni vitu gani vinaweza kumdisqualify...
Wadau naombeni tusaidiane hivi hiki kikokotoo cha 33% kinawahusu wastaafu amabo wamefikisha miaka 55 au hadi wale wanaoachishwa kazi? Na je mfano kwenye mfuko nimechangia 7000,000 milion je...
Neema nyingine kwa wahitimu wa kada ya Afya yabainishwa..
Serikali ya awamu ya 6 imeahidi kuwatafutia Kazi wahitimu wote wa kada ya Afya kwenye Nchi mbalimbali.
Ahadi hiyo imetolewa na Serikali...
Habari zenu wanaJF?
Utumishi wa Umma kupitia Sekretarieti ya Ajira wametangaza nafasi nyeti serikalini ikiwemo;
1. Mkurugenzi Mtendaji - TIC
http://portal.ajira.go.tz/advert/display_advert/4989...
Kwema wakuu
Niliona hizi kazi mtandaoni, na kwa vile nilikua na sifa nikaomba.so wamenialika kwenye usaili,ila sijawajua vizuri wanadeal na kitu gan exactly. So naomba mwenye kujua abc zao...
Habari za majukumu wakuu!
Je, zile tetesi au ubashiri wa kwamba majibu ya maombi ya kazi ya sensa 2022 kwamba tar 3 June 2022 mkeka umekubali au?
Hapo awali watu wengi mitandaoni walisema kuanzia...
Habari wakuu
Nilikuwa naomba kuuliza ,Kuna wale wenzangu na Mimi kwenye vyeti vya taaluma kutoka shule ya msingi Hadi chuo kikuu ( form four ,six ,chuo ) tumekuwa tukitumia majina mawili tu mfn...
Sina mambo mengi ni hayo tu.nahitaji mtu wa kunipigia hizo accounting packages .kuhusu malipo tutapozana kiuwana.
Info zaidi pm
Shukran.
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Bring your possibility to life! Define your career with us
With over 100 years of rich history and strongly positioned as a local bank with regional and international expertise, a career with our...
Habari nilikua naomba kwa mwenye ufahamu juu ya hili shirika la ICAP au hata yule ambae kashawahi kufanya nao kazi kuhusu mchakato wao wa ajira unakuaje ili anipe kidogo mwangaza.
Walitangaza...
Kiukweli binafsi nilikuwa mtumiaji mzuri wa hii application ya zoom hususan katika kuangalia ajira na fursa mbalimbali.Lakini Jana nimeingia nikashangaa inafanana kabisa na Kupatana nikajua labda...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.JA.9/259/01/A/116 22ndJune, 2022
VACANCY ANNOUNCEMENT
On behalf of Ministry of Natural...
Naomba kuuliza ivi uki-apply kazi ni lazima uambatanishe transcript na cheti chake au cheti pekee kinatosha? Kwa wazoefu please msaada apo[emoji120][emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.