Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari JF! Mimi ni Binti nimehitimu Bachelor of Accountancy ninauzoefu wa zaidi ya miaka mitatu kama muhasibu na ninaweza kufanya pia Kazi zingine kama marketing. Kwa kampuni wanayohitaji...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Masaa wana jamii ni wapi kuna maslahi mazuri ya malipo/kipoato (mishahara na posho) kwa ngazi ya degree taasisi za serikali hizi 1.PURA.....As geophysics 2.Ocean road Hosp......as medical...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Hello, Ninajiandaa na usaili wa written, nafasi ya Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka utumishi Naomba mwenye vidokezo, written yao inalenga maeneo gani haswa?
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Sekretarieti ya ajira tupeni ufafanuzi kwanini hizo ajira za PURA wasipewe watu waliosomea Petroleum Geology, Petroleum Engineering na Petroleum Chemistry? Serikali ilipokua inaanzisha hizi kozi...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari, naomba mniambie PGSS 14 ni shilingi ngapi?
0 Reactions
25 Replies
19K Views
Mkeka ushachanwa siku 3.
0 Reactions
0 Replies
626 Views
Habari wana JF, Mimi ni mwalimu katika skuli ya msingi hapa Zanzibar.Nahitaji kuhamia Tanzania Bara kwa mwenye uzoefu naomba anisaidie mawazo. Nitashukuru sana[emoji120]
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari, Ilikuwa 21 April TBS walitoa tangazo la internship kwa nafasi mbalimbali. Vipi walishaita vijana kwa ajili ya usaili na kuanza kazi? Nimeingia kwenye website yao sijaona tangazo lolote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, kesho nina usaili wa udereva, naombeni nondo ninenepeshe ng'ombe siku ya mnada. Ahsanteni.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, kati ya hao wawili yupi ana mslahi mazuri, sababu kuna kila dalili za kutoboa interview ya iliyoanza Jana ya Mahakama, na hapohapo nishahakikishiwa na mkurugenzi ndugu yangu wa halmashauri...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wakuu! Guys kwa yeyote aliwahi kufanya interview ya written kwenye mashirika ya DAWASCO( DAWASA,MTUWASA etc) Kama Water Technician naomba ashee maswali ambayo alikutana nayo! Asante.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Naomba kazi yoyote itakayo niweka mjini wakati nikihangaikia mambo yangu ya kuwa employed kulingana na professional yangu. Niko dar es salaam, 0767908931 namba yangu
0 Reactions
11 Replies
827 Views
Naomba kujua mshahara wa diploma ya ustawi wa jamii.
1 Reactions
17 Replies
14K Views
Habari wandugu. Natafuta gari ya kufanyia kazi za bolt nna uzoefu wa miaka mitatu itapendeza kama ntapata ya mkataba. Mawasiliano yangu no 0783213411.
1 Reactions
2 Replies
482 Views
Nilishiriki Zoezi la Anuani Za Makazi. Niliamka Asubuhi 12 na Kufanya kazi Hadi saa 1. Zoezi lilipofika mwisho huku eneo kubwa likiwa Bado halijaingiziwa taarifa, (hii ilitokana na idadi ndigo...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za majukumu ndugu zangu! Nawasilisha hapa ombi kwa yoyote ataeguswa na kunisaidia kupata kazi. Nimefanya kazi kwa miaka 10 katika maeneo tofauti mpaka mwaka 2020 ndio ilikuwa mara yangu...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari za kazi wakuu, Mimi ni dereva, ninahitaji ajira kuendesha gari ya shule, daladala au gari binafsi. Nina vyeti na leseni yenye madaraja A,A2,B,D,C1,C2,C3,E. tafadhali share na wengine...
0 Reactions
6 Replies
780 Views
Naombeni kwa waajiri wowote wanaohitaji kijana mchapa kazi na anayejituma, wanicheki kupitia 0624843841. Nipo Dar, Temeke.
0 Reactions
6 Replies
670 Views
Habari zenu wakuu! Niliomba nafasi ya kazi ya Accounts officer katika tume ya utumishi wa mahakama katika mfumo wao wa kutuma maombi (Online Application), Leo mchana nimesikiliza Tbc FM kuwa...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Nakupa fursa mbili zilizopo Shule ya Sekondari Sakana Iliyopo Kiluvya, Gogoni, jijini Dar Es Salaam. 1. Kama wewe ni Mwalimu wa Fizikia na Hesabu (Basic Mathematics) karibu ufanye Interview, ya...
1 Reactions
1 Replies
640 Views
Back
Top Bottom