Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Mambo zenu hustlers wenzangu! Hawa jamaa wamenipigia simu niende kwenye interview kesho kwa nafasi ya Data collection,wameniambia ofisi zao ziko Masaki jengo la TPSF. Kuna mwenye ABC zao...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, Mimi ni mwanaume mchapakazi na muaminifu .Nina uzoefu miaka mitano hasa katika sekta binafsi kwenye kazi ya uhasibu haswa kwenye mambo ya kodi n.k. Nina uzoefu sana kwenye...
0 Reactions
5 Replies
913 Views
Kama kichwa cha habari hapo kinavouliza. Je hizi online course zinasaidia kwenye kupata ajira kweli? Maana kama ni skills kweli mtu unajifunza ila je vyeti vinavyopatikana kwa njia hii viko...
2 Reactions
5 Replies
752 Views
Habari Wataalamu. Kuna website yangu ambayo iko kwa developer na muda wowote atanikabidhi kazi baada ya kumaliza upade wake. Sasa ninafikiria kupata expert tofauti ili anifanyie SEO na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa, Jamani naomba msaada kwa aliyewahi kufanya computer test interview na shirika la Peace Corps, huwa hasa wanabase kwenye kitu gani? Asante sana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwaka huu namaliza kidato cha 6 na ningependa kujiunga na jwtz baada ya hapo na inakuaje Kama sitapangwa JKT.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hosanna Higher Technologies creates Software Solutions for our corporate clients, Training IT/Software development departments for corporate and vendor variety of SaaS solutions to solve variety...
2 Reactions
1 Replies
600 Views
POST: ELECTRICIAN – 1 POST POST CATEGORY(S): TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER: Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-01-07 2022-01-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Jaman amna ata mwenye lonja ya magereza wanatoa lin mkeka wa watu kuripoti
1 Reactions
7 Replies
815 Views
JOB DESCRIPTION Job title: Finance Officer Band: Employment band: H Reporting to: Finance Manager Technical line manager: Finance Manager Direct reports: No direct reports Unit/department: Finance...
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Habari.... Kwema humu, ebana kama kichwa cha habari kinavyotia huruma hapo juu. Ebana nataka kuanza ujenzi mwaka 2022 badget haijakamilika yaani nataka nianze mdogo mdogo mpaka mambo yawe sawa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Anahitajika kijana mwenye uzoefu wa kuuza Butcher ya nyama ya ngombe/ Mbuzi na Samaki. Awe na uzoefu wa mashine ya kukatia nyama na uzoefu wa biashara hii. Butcher iko Bunju, ni PM kwa mazungumzo...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
POST: CAPTAIN – 1 POST POST CATEGORY(S): TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER: Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-01-07 2022-01-20 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES...
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Bulyanhulu Gold Mine is seeking to recruit Mine Surveyor to join our team. The successful candidate for this position is expected to align to the Barrick DNA and drive a change within his team and...
0 Reactions
0 Replies
413 Views
Job Description: Context/Scope: Serengeti Breweries Limited (SBL) is a fully integrated beverage business in Diageo Africa (supply and demand for beer and spirits) It is a subsidiary of East...
0 Reactions
0 Replies
551 Views
Habari za leo JF members, Happy new year. Mimi ni dada fundi nashona nguo za aina zote nikimaanisha za kike na kiume. Nashona kwa ustadi wa hali ya juu. Naombeni support yenu ndugu zangu kama...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni binti nimesoma procurement na baadae nikasoma business management. Niko Arusha tafafhali kama kuna mtu ana kazi yake ama anamjua mtu anaetaka mfanyakazi usisite kunitaarifu. ARUSHA.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ubalozi wa Marekani, Tanzania wanahitaji Nesi. Aliyessajiliwa, Mwenye uzoefu walau Miaka 2. Kazi nzuri. Kutuma Maombi fungua link hapa chini...
6 Reactions
80 Replies
7K Views
Kama kichwa Cha habari kinavyosema , Mimi ni Fundi Nzuri wa Rangi na huwa nafanya kazi na Shirika la nyumba { NHF} Mbeya nina uwezo mkubwa sana wa kupiga rangi kwenye nyumba na hata kupiga kisasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habariii wana familia mi nikijana muhitimu wa chuo kwenye kada ya tehama nilikua nimekuja hapa kuleta ombi langu la kuomba kupata sehem ya kufanya intern kwa yoyote anaeweza kunisaidia au kama ana...
0 Reactions
5 Replies
788 Views
Back
Top Bottom