Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari, Wana JamiiForums naomba msaada wa kusaidiwa kupata nafasi ya kiajira mana hali imezidi kuwa ngumu na nina wazee na familia yangu wote wananitegemea na sina hata pa chakula kwa ajili ya...
0 Reactions
3 Replies
797 Views
Overview The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Agency under the Ministry of Works and Transport which is responsible for the Development and Maintenance of the Trunk and Regional...
1 Reactions
62 Replies
11K Views
Habari zenu Natafuta wafanyakazi kwa ajili ya kufanya kazi kwenye mgahawa #Wakike 2 elimu certificate yoyote sio lazima awe na uzoefu wa mambo ya hotel #Wakiume 1 kwa ajili ya kumsaidia mtu...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakurungwa naomben msaada kwahili limenistua kidogo najua humu kuna weng wanaojua sheria na wengine wanaexperiance na haya mambo.kuna ofisi moja nilikuwa nafanya Kaz sasa wamenipa termination...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
wana jf,samahan mshahara kwa intern private sector upoje na je mda ukiisha unaweza update?
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Eneo la kazi ni Kibara, Bunda. Awe jinsia ya kike, asiwe binti mdogo (awe Kati ya Miaka 20 hadi 40). Awe na uwezo wa kutumia Uhuru binafsi maana muda mwingi wenye nyumba hawapo, wanakuwepo tu...
1 Reactions
5 Replies
821 Views
Salaam! Kwa Wote. Awali ya yote tuzidi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kufika 2022 salama, tukiwa tunauanza mwaka tunaendelea kutafakari na kuweka malengo ya kupiga hatua kiuchumi...
1 Reactions
0 Replies
660 Views
Mambo job seekers wenzangu. Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi kama mtu wa sales. Mshahara laki 8 kabla ya makato ila naona aibu kuifanya sababu naona kama sitokuwa comfortable kuuza...
12 Reactions
59 Replies
5K Views
1 Reactions
1 Replies
341 Views
0 Reactions
0 Replies
407 Views
Habari wakuu. Kuna kazi ya kuedit document ya maneno 17000. Kuna original na hii iliyokaa vibaya ambayo inatakiwa iwe kama original. Ni pm kama unaweza. 15000. *WAKUU NIMESHAPATA MTU
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Happy new year. Wale mnaotafuta Kazi ,nendeni haraka Canada,mnaweza wasiloana na Balozi wetu kule awafanyie connection. Sio mumelundikana Bongo na kulia Lia tuu hamtaki kujiongeza. Kazi hizi...
4 Reactions
35 Replies
7K Views
Habarini viongozi, Naomba kama kuna mtu YEYOTE anefanya au aliewahi fanya kazi na World Vision anielekeze namna ya kuupload CV kwenye website yao ya ajira.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama Tangazo Linavyojieleza, Natafuta Binti Wa Kukaa Reception Na Kusikiliza Wateja Kwenye Office Ya Computer & Phone Repair TAFADHARI SOMA KWA MAKINI MAELEZO YANGU. VIGEZO: 1. Awe Anajua...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wadau, Naomba kufahamu vitu viwili vitatu kuhusu hizi position mbili za PCCB kuna moja inaitwa investigation officer na nyingine assistant investigation officer, nimeona mara nyingi watu...
2 Reactions
28 Replies
15K Views
Wapendwa kwema? Nilifanya interview kwa kampuni flani ya wahindi hapa mjini Dsm kwa nafasi ya umeneja mauzo,interview ilienda vyema,candidates tulikua kama 7 hivi,sisi kutoka chuo tajwa tulikua...
14 Reactions
62 Replies
8K Views
WanaJamvi ambae amewahi kushiriki Usaili (written) Wa PCCB, nataman kufaham ni maswali gani uulizwaa, mdogo wangu ameitwa interview Dodoma hapo kesho.... Tushirikishane
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wakuu, mimi ni fresh graduate chemical and process engineer nahitaji kazi yoyote unayohusiana na course hii. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
0 Replies
357 Views
Natafuta mwalimu wa daycare, shule ipo maeneo ya kawe inapendeza mtu asitoke mbali. Kwa mawasilano zaidi wasap 0767191212. Usipige wala kubeep tuma sms.
1 Reactions
5 Replies
747 Views
Kwa sasa nipo dar es salaam shughuli zangu ni mtu wa IT ambaye nashughulika na maswala yafuatayo 1.computer training programs 2.computer maintance and repair 3.security systems installations...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom