Habari wakuu, Mimi ni operator wa mitambo ya kutengeneza barabara , nimesomea chuo cha mitambo cha Veta Shinyanga , Nina cheti na leseni pia.
Ni operator wa mitambo ya Motor Grader, Hydraulic...
Wana familia wa JF, Amani iwe kwenu
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni Mhenga mwenye umri wa miaka 36. Nimerudi nchini wiki mbili zilizopita baada ya kumaliza masomo yangu ya Shahada...
Habari zenu wakulungwa!!
Naomba kujua mtu ambaye ataenda/yuko invited kwenye usaili wa PCCB Jumamosi ijayo pale Dodoma?
Anayetokea Dsm, Mwenye private car tuchangie mafuta twende naye
Asante
Wakuu mmeshasikia usaili utakaofanyika 8/1/2022. Usaili huu utajaza jiji la Dodoma umati wa watu 12,377 hao ni wa nafasi ya afisa uchunguzi tu.
Kuna nafasi ya afisa uchunguzi wasaidizi wameitwa...
Habari za mwaka mpya waungwana.
Natafuta msichana wa kufundisha watoto basic computer application. Hakuna masharti mengi ni haya tu.
1. Uwe Dar es salaam
2. Ujue computer applications (Basic)...
Heri ya mwaka mpya wakuu,Naitwa Geofrey wa Moro,kwa heshima na tahadhima kwa yeyote mwenye mapenzi mema aniunganishe na kazi yoyote,nina uzoefu wa kutibu na kuhudumia mifugo,kilimo,compyuta n.k...
Mdada wa kazi za ndani anahitajika nchini Kenya, Nairobi. Umri kuanzia miaka 18 hadi 37
Familia ya watu wanne, Baba, Mama na watoto wawili mmoja ako Boarding school mwingine ndio anataka kuanza...
Mimi ni binti mrembo mwenye umri wa miaka 24. Na si mrembo tu bali ni mchapakazi sana na mwepesi wa kuelewa kitu, na napenda kujifunza pia. Elimu yangu ni ya kidato cha4, Naongea vizuri lugha ya...
Asalam aleykum wakuu,
Husika na kichwa Cha habari apo juu Mimi ni binti wa miaka 26 elimu kidato Cha nne ninaomba Kazi Kwa mwenye uhitaji wa binti kuuza duka, kuwa wakala,sheli, uhudumu kwenye...
Wadau habari zenyu, PCCB aptitude test result na majina ya Oral interview yametoka ndg zanguni.
http://pccb.go.tz/images/stories/adverts/APTITUDE RESULTS.pdf...
P2 Real Estate inajishughulisha na ununuaji na uuzaji wa viwanja, mashamba, nyumba katika mikoa ya Tanzania Bara, aidha, kampuni pia unajisikia na upangishaji wa nyumba, vyumba pamoja na flemu za...
Natafuta mdada wa kazi za ndani,
Mshahara- 60,000
Sehemu-kinondoni
Dini - yeyote
Aina ya familia atakayofanyia kazi ina Baba , mama na Mtoto wa miaka 4.
Atakayekuwa tayaru nicheck Dm
Update...
Habari za muda huu wanajamvi Naitwa Christopher Haule natokea Morogoro kwa sasa Nipo Dar nimemaliza Diploma ya Clinical medicine (Utabibu) Mkoani Ruvuma mwaka 2020 natafuta...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Naomba msaada kwa ambao wamewahi kubahatika kushiriki aptitude test za PCCB miaka ya nyuma asa katika position ya investigation officer, japo hits za namna...
Tanzania Commercial Bank is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products.
Tanzania Commercial Bank is a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.