Anahitajika dada wa kazi za nyumbani, majukumu yake ni kama yafuatayo:-
Kufanya usafi wa nyumba, kufua, kudeki, kuosha vyombo
Kupika
Kucheza na watoto
Ujuzi
Elimu ya msingi, sekondari au ualimu...
Habari JF,
Kuna Msichana ameniomba nimtafutie kazi ya upishi, amepitia mafunzo yake Veta, amewahi kufanya mafunzo kwa vitendo kwenye Restaurant za Himo huko Masasi, Mtwara
Mwenye connection basi...
Hivi ni mimi peke yangu ninaetuma maombi ya kazi na sipewi mrejesho au!!?
Kuna kipindi nilia-apply sana kazi mfululizo kwa muda wa mwaka na nusu ivi nikaacha kwasababu sikuwa napata feedback...
Naomba mwenye connection ya kazi yoyote ile halali :
Age;28 yrs
Education; Bachelor degree of education in history & kiswahil (2019) upper second class
Gender; Female
Location; Dar...
Hosanna Higher Technologies creates Software Solutions for our corporate clients, Training IT/Software development departments for corporate and vendor variety of SaaS solutions to solve variety...
Mimi ni kijana wa kitanzania naomba kazi ya kisimamia daladala hapa dar es salaam kwa uaminifu wa hali juu Sana. Nitafanya kazi kwa bidii zote, mtu wa kunizamino yupo.
Napenda hii kazi.
Habari wana jukwaa
Nimejitokeza kijana wenu kuomba nafasi ya intern au kazi kwa kada niliotaja kwenye kichwa cha habari hapo juu,
Elimu yangu ni shahada ya kwanza ya uhasibu, pia nina uwezo wa...
Niamini mimi ndugu kijana mtafuta kazi kumekuwa na tabia mtu kuandika post anatafuta kazi sizani kama mpo mliofanikiwa kwenye hili kama mpo kwenye kumi atapata mmoja
Ipo hivi mtu kukupa kazi kwa...
Kwa kweli sijawaelewa hawa ndugu zetu wamezingatia vigezo gani kuwapitisha watu kwenye interview baada ya aptitude test, kwani kama wangekuwa wamezingatia ufaulu wa marks za juu hakika wengi wa...
Hosanna Higher Technologies creates Software Solutions for our corporate clients, Traiing IT/Software development departments for corporate and vendor variety of SaaS solutions to solve variety of...
Mimi naitwa Doris Gabriel naishi Dar Nina certificate ya front office and customer care and telephone operating system.nilifanya field Dodoma Hotel,Serena Hotel, Strategies insurance,ninaomba...
Appealy hair dressing saloon wanahitaji msusi wa saloon (ya kike).
Mahali: Nzuguni kwa masista, Dodoma.
Sifa za mwombaji.
1. Awe anajua kutumia mashine za saloon.
2. Awe anajua kusuka mitindo...
Habari
Natafuta kazi ya kujitolea kama msimamizi wa Biashara, Afisa mauzo, Afisa masoko, huduma kwa wateja na nyinginezo zinazoendana na hizo maswala ya biashara
SIFA ZANGU
Elimu ;
Chuo kikuu...
Habari wakuu,Naitwa Geofrey nipo morogoro mjini,NATAFUTA KAZI YOYOTE mahalo popote,ni mtaalamu na mzoefu wa mifugo na kilimo, na afya ya binadamu. Elimu yangu ni kidato Cha sita na chuo. Course...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.