Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na...
Mwenye kufaham mashirika yasiyo ya kiserikali yanayotoa ajira mbalimbali naomba mwongozo wako.
Kuna zile kazi za research, community linkages, n.k.
Kila shirika linatofautiana.
Naweza kuanza...
Habari wana JF kama kicha kinavyojieleza apo mimi ni binti wa miaka 22 natafuta ajira elimu yangu ni kidato cha sita mpaka sasa sjapata ajira,nna cheti cha basic computer,microsoft exel na...
Hello wakuu, habari.
Naomba msaada kwa yoyote anayefahamu agents wa kutaftia watu kazi (skilled na non skilled jobs) kwa nchi hizo za kiarabu naomba anifahamishe mahali wanapopatikana ama...
Shule hulia ya Planet inahitaji mwalimu wa kufundisha masomo ya Accountancy na Commerce kwa level ya O-level na A-level.
Plaet inapatikana jijini Mwanza karibu na Nyanza shule ya msingi barabara...
Wahahitajika vijana watano kwa ajili ya kutembeza nguo, viatu, mabegi ya mitumba maeneo mbalimbali mkoani Arusha. Aina ya kazi iko hivi:-
Asubuhi utakabiziwa mzigo kutokana na uwezo wako, na...
Habari wakuu,,
Nina mteja anahitaji kusafirishiwa mzigo kutoka bandarini(dar)kwenda nje ya nchi,kwa yoyote mwenye taarifa sahihi ya kampuni nzuri iliopo dar aje pm tuwasiliane
N.b it is urgently...
kuhusu ajira zinazidi kuwa ngumu mnoo hasaa miaka hii ya 202+ tutapitia ugumu mwingi sana kuipata ajira, hivyo kuna njama nyingi sana tunatakiwa kuweza kuzitumia ili kupata ajira katika taasisi...
Ndugu poleni na majukumu.
Kijana wenu natafuta kazi niweze kujikimu kimaisha, nina hali mbaya sana kiuchumu hali ambayo inaniletea msongo wa mawazo kufikia hatua ya kuwaza kupita kiasi ndugu...
Habari wapendwa,
Naombeni mnisaidie connection hata nipate mahala pa kufanya field, nategemea kuanza field November sema ndo barua zangu mpaka Sasa hazijibiwi msaada wenu tafadhali..nasoma...
Habari waja Jamii Forums mimi ni binti wa miaka 22 natafuta kazi yoyote elimu yangu ni form six pia nimesoma pharmaceutical science mwaka wa pili nilishndwa kumaliza kutokana na kukosa ada. Naomba...
Bila longo longo naitwa Vitalis nina uzoefu wa miaka mi 2 nahitaji gari ya mkataba au hesabu iwe imesajiliwa kwa biashara ili tusileteane vipengele vingi na maneno mengi, nina akaunti ziko active...
Mimi nikijana wa miaka 24 natafuta kazi ya ufundi wa magari katika kampuni na watu binafsi na pia nimepitia mafunzo ya veta nanauwezo kundesha gari na leseni yangu daraja E kwa mwenye uhitaji ni...
Tutumie uzi huu mwenye kibarua (kazi ya muda mfupi) aeleze kazi aliyonayo na inatakiwa ifanyike lini; ili mwenye kuhitaji kazi hiyo ajitokeze, na wakubaliane malipo ili maisha yaweze kuendelea...
Habari za muda wadau,
Nataka nifanye biashara ya kuuza chips Mbagala ila nimekosa mtu wa kufanya nae kazi.
Kama yupo mtu mwenye uzoefu na hii biashara tuwasiliane
Mficha maradhi kifo humuumbua. Hivyo ndivyo navyoweza kusema kwa sasa.
Mwenzenu ni mwaka wa pili sina ajira tangu mkataba ulipokoma kule kwenye kampuni niliyokuwa nafanyia kazi.
Mimi ni mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.