Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Bila longo longo naitwa Vitalis nina uzoefu wa miaka mi 2 nahitaji gari ya mkataba au hesabu iwe imesajiliwa kwa biashara ili tusileteane vipengele vingi na maneno mengi, nina akaunti ziko active...
0 Reactions
2 Replies
719 Views
Wadau kwema. Kijana wenu natafuta kazi niweze kujikimu kimaisha, nina hali mbaya sana kiuchumu hali ambayo inaniletea msongo wa mawazo kufikia hatua ya kuwaza mambo mabaya.. Kazi nazoweza...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakuu nimepata fununu jana wakati niko sehem nikipata lunch posta pale, kuna wazee walikuwa mbele yangu wakizungumzia kuhusu mishahara basi nikasikia TBS ndo baba lao watu wanamwagiwa pesa sana...
0 Reactions
107 Replies
22K Views
Wapendwa Habari zenu. Samahani nilikuwa naomba kuuliza majibu ya usaili wa ana kwa ana (oral interview) ya utumishi huwa yanatoka baada ya muda gani. Walisema wiki 2 mpka tatu lakini ni wiki ya...
2 Reactions
17 Replies
7K Views
Habari za muda huu waungwana, Mungu ni mwema .nije kwenye mada wakuu, kwa mwenye connection ya kazi kwa mtu wa folkal lift nimesoma bandari collage pale nakuahidi 60% of my 1st salary...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu salam kwenu. Niko hapa naomba tips za wapi pa kugusia kwenye written exams za utumishi kada ya ICTO upande wa software developer na Sys Admin. Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wanajukwaa, naulizia hivi wa job junction kuna mtu alishawahi kupata kazi kupitia wao? Maana walitoa tangazo wakasema tuma cv baadae wakatuma email wakaweka namba ya simu niwapigie, mara...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Naomba kwa mwenye upeo...kijana wangu amechaguliwa kusoma kozi hii katika moja ya vyuo naomba kujua anaweza kufanya kazi gani kwa kozi hii hisusani katika ngazi za halmashaur?
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Nime-graduate bachelor of Philosophy with education (Philosophy and Linguistics ) SAUT Mwanza-2020. Naomba msaada wowote wa kupata C/tion, wazo, direction kuhusu ajira; iwe ni kwenye NGO's au...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Mdogo angu kaitwa interview ya vitendo shirika la reli TRC kwa fani ya equipment operator kwa mwenye ufahamu wanatumia mashine gani kufanyia usahili?
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Tumshukuru Mungu, Hakuna kinacho shindikana mbele zake. Anahitajika Muuzaji wa DLDM, sifa zifuatazo. 1.Awe binti/Mwanamke 2.Umri chini ya miaka 23. 3.Awe amehudhuria mafunzo ya ADDO na awe...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wakuu,heshima kwenu nyote, Kama kichwa kinavyoeleza hapo juu,ombi kuu ni kuomba nafasi ya kazi, nafahamu hapa kuna watu mbalimbali na wenye nafasi tofauti tofauti na katika wengi waswahili...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu, Mimi ni Kijana wa kitanzania Mwenye umri wa miaka 29. Banda ya kumaliza kidato cha nne nilijiunga na chuo cha utumishi wa umma TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE, TABORA CAMPUS...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam Jukwaa hili pendwa la JF-ajira. Ni miaka mitatu sasa tangu nimalize chuo kikuu X. Nimejaribu kupeleka barua za maombi ya ajira shule binafs bila mafanikio yeyote. Masomo yangu ni English...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Anaitajika mpishi mwenye uzoefu mkubwa wa kupika biriani na Mande pia n avyakula vingine kwa ajili ya biashara ya mgahawa Bunju B. Noamba ni PM kama una sifa hizo.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama kuna mtu yeyote ambae anafahamu kampuni ambazo hutoa magari ya mkataba kwa ajiri ya biashara kama #uber #bolt na Indrive anifahamishe tafadhali. Isipokua: FMG TANZANIA Inc.[emoji3]...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, Mimi ni mwanamke mchapakazi na muaminifu .Nina uzoefu sana kwenye kazi ya uhasibu haswa kwenye mambo ya kodi. Nina uzoefu sana kwenye kazi zifuatazo: ●Preparation of payrolls...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habar ndugu zangu.. mimi nikijana nipo dar es salaam natafuta kaz au connection yoyote yakuweza kupata Kaz hata kama ni kwenye viwanda,kusimamia biashara nakadhalika.. popote pale kweny fursa ys...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu! Mimi ni MWALIMU wa shule za msingi na awali, Natafuta kazi kwenye shule hizo:- 1.nina DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION 2.nina CERTIFICATE IN INFORMATION AND COMMUNICATION...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta kazi yoyote. Nipo tanga,umri miaka 25. Kielimu nimefika form six,nimepitia mafunzo ya jkt,university incomplete. Mzoefu kwenye mauzo (Duka,grocery, hardware). Gardener, house keeping. Pia...
0 Reactions
1 Replies
625 Views
Back
Top Bottom