Habari,
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nimemaliza Chuo mwaka 2020 , natafuta sehemu ya kufanya interniship ili niweze kupata uzoefu katika fani yangu.
Nina ufaulu mzuri wa masomo yangu ya...
Habari Wakuu,
Mimi ni kijana wa kitanzania Mwenye umri wa miaka 24 mkazi na mzaliwa wa Arusha. Nilikua naomba kazi ya kufanya kwenye Mgahawa au restaurant Ndani ya mkoa wa Arusha na Mikoa jirani...
Habari Jamii forums,
Mimi ni graduate kutoka chuo cha IFM , class of 2019 , nimesomea degree ya Banking and Finance.
Naomba msaada wa kupata kazi as Graduate Trainee , wakati tukiwa chuo...
Ni muhitimu katika fani ya Health SYSTEMS MANAGEMENT kwenye utumishi inahusishwa na ukatibu wa afya.
Nahitaji kazi/ajira si internship popote Tanzania.
Kwa sasa nipo kibaha.
Habari wana jf, naomba kurudia Uzi huu kwa watu ambao wanaweza kunisaidia.
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 25, Ni mhitimu wa chuo kikuu, nimesoma Bachelor of public administration na kuitimu...
HR WORLD LIMITED on behalf of our client in (Banking Industry) we are looking for a qualified Systems Administrator who has the following responsibilities and qualifications.
SYSTEMS...
Wadau ninamiaka karibu Sita mtaani bila ajira Rashmi japo nimejitahidi Sana kufanya shughuli zangu zingine za Computer maintenance niliojifunza mtaani japo bado kipato hakijitoshelezi.
Kilio...
Wakuu Salaam,
Naitwa Didas E.Michael.
Nina bachelor degree of statistics and mathematics.
Natafuta kazi katika taasisi yoyote ile iwe ya kiserikali au binafsi, makampuni,NGO au mashirika yoyote...
Tumaini langu mko salama, kunachangamoto kubwa sana kwa vijana wanaoishi kijiji kupoteza fursa za kazi ambazo Halmashauri huwa wanazitangaza, matangazo haya mara nyingi huwa hayawafikii vijana...
I know JF has wide possibility to help me, so come on!
I'm a man(29) I've knowledge in computer application based MS-word, excell, access, internet, powerpoint and publisher. Whoever/wherever I...
Tunahitaji yeyote mwenye uzoefu na kazi za staionary. Awe na uwezo wa kutumia computer hususani program zote za machapisho. Awe mzuri wa kutumia internet
Aweze pia kuandaa na ku post matangazo...
Natafuta kazi kwenye hospital na pharmacy nimesoma Pharmacy miaka miwili sina leseni ila cheti ninacho
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Habari wakuu.
Mimi ni kijana wa kiume Miaka 24. Mkazi wa Arusha. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka Naomba kwa yeyote mwenye kuweza kunipa ajira ya muda au ya kudumu. Kitengo chochote iwe ni...
Naombeni msaada wana JF nina cheti cha IT pamoja na mambo ya Clearing and Forwarding nina leseni ya udereva Class D naombeni msaada hata kwa kujitolea nijifunze kazi.
Habari wana JF I hope mpoa.
Mimi mi muhitimu wa diploma ya account mwaka jana nilijaribu kuomba mkopo nienndelee na bachelor ila nilikosa. Naomba kama mwenye kunisaidia nipate sehemu hata ya...
Wanajijta Recruitment Company wanapatikana Makumbusho kituoni jengo la Choppers Supermarket floor ya tatu. Wanachukua cv kwa ajili ya kukutafutia watu interview wanajazishi form yao kwa...
Habari zenu wadau
Kuna mtu yoyote ambae ameshawahi kupata kazi kupitia hawa jamaa wanaojiita "Job Junction Tz ?
Kama yupo naomba anipe uzoefu wake na alipataje pataje kazi kupitia kwa hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.