Job Summary
The Sales and Marketing Executive is tasked with promoting, selling, securing orders from existing and prospective clients within the assigned branch/territory in line with agreed set...
Niko masasi mtwara nimesoma shahada ya maendeleo ya jamii(BA-DS).natafuta mashirika husika,yanayohusiana na maendeleo ya jamii kwa ajili ya kujitolea ili niongeze weledi zaidi katika fani yangu...
Habari zenu mabibi na mabwana,
Naomba kuuliza nimeona sehemu nyingi kuna branch mpya za idara ya maji Dawasco na soon kufunguliwa, ningependa kujua juu ya taratibu zao juu ya upatikanaji wa ajira...
Ninahitaji mtu kwa ajili ya Marketing na Sales kwa Arusha.
Sifa;
Diploma au Certficate ya Marketing
Awe na uzoefu kwenye Sales and Marketing kwa kipindi cha mwaka mmoja hasa kwenye Bevarage...
TAREO-Tanzania Rural Empowerment Organization ni asasi isiyo ya kiserikali yenye makao yake makuu Moshi, Kilimanjaro.
Hoja ya jukumu la asasi hii ni kuwajengea uwezo wa kazi wa vijijini hususani...
I get confusion comreds.
Hivi inawezekana kwa mtu mmoja kuajiriwa na taasisi mbili za serikali mfano(Muhimbili National hospital na MUHAS) na akawa anapokea mishahara miwili kutoka taasisi mbilio...
Nipo vizuri sana kwenye purchases and accounts.
Pia nina uzoefu na hii kazi nishafanya sehemu mbalimbali.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Kama wewe uko home tu huna kazi yeyote yawezekana upo unatafuta kazi bado hujapata au ni mama wa nyumbani,au ni kaka wa nyumbani kazi yako kubwa ni kuingia mtandaoni kusoma kuangalia dunia...
Ndugu zangu msinichoke bado sijapata ajira. Nilisoma IT lakini ninaweza kufanya kazi yoyote. Kama una duka au biashara naomba uniamini nije nifanye kazi yako kwa ufanisi. Napatikana Dar es salaam...
habari zenu wana JF,
nimekuja tena kuomba msaada wa kibarua hali imekuwa ngumu, baada ya kuzunguka kutafuta ajira rasmi ya kufundisha kwenye shule bila mafanikio niligeukia kwenye kazi za...
Habari wapendwa humu JF, Mimi nina miaka 28 chuo nimepita nikapata degree ya masuala ya computer ila kama mnavyojua wimbi la kukosa ajira limekuwa tatizo kubwa kwasasa ndio maana nimeamua kuja...
Habari Wana JF,
Kwa Jina Naitwa Steven Naishi Ilala Dar es salaaam namiaka 24 Pia ni Kijana mchapa Kazi mwaminifu kwa kila majukumu nayofanya, Katika swala langu la kielimu nimehitimu level zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.