Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habar zenu wana jukwaa. Kama kichwa cha habar kinavojieleza, nimeona niwaletee hii ili vijana waongeze maarifa na uelewa kutoka kwa wajuvi. Hii wiki imeanza kwa mimi kusumbuliwa na vijana juu ya...
0 Reactions
13 Replies
601 Views
Vijana wameenda kwenye Mahakama za Kanda wamefanya usaili, wengine wamesafiri kwa kutoa nauli zaidi ya shilingi elfu 30 kwenda tu. Kuna wengine walifikia lodge na wengine kwa ndugu. Baada ya...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Poleni na majukumu ndugu zangu Nilikuwa naombeni connection ya kazi. Nina Degree ya Sheria pia nimefanya kwenye maswala ya HR pia ni knowledge ya kufanya kma HR hata nafasi ya kujitolea. Nipo...
4 Reactions
13 Replies
577 Views
Mi naomba kuuliza wakuu ,hivi mfano course ya Bachelor Degree in Management of Social Development ni ofisi zipi unaweza kufanyia field practice
0 Reactions
2 Replies
293 Views
Natumai mko wazima. Mimi ni kijana wa kitanzania, nina shahada ya Usimamizi wa Manunuzi na Mnyororo wa Ugavi (Procurement and Supply Chain Management) pamoja na cheti katika matumizi ya kompyuta...
1 Reactions
8 Replies
370 Views
Katika jamii yetu, mara nyingi kazi zinazochukuliwa kuwa "za ovyo ovyo" au zisizokuwa na hadhi ya juu zimedharauliwa. Watu wamekuwa na dhana kwamba kazi kama hizi hazina mbele wala nyuma...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. Nafasi zilizopo 11,000/= Walioomba. 200,000/= Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18. Interview ya Kwanza Written. Washiriki 200,000 Nafasi zinazogombewa...
13 Reactions
117 Replies
6K Views
Tunaomba serikali itambue kozi ya Health information Science kwenye Portal za Ajira za serikali. Je, serikali Ina mikakati gani? Maana huu ni mwa wa Saba na intake ya 8 Toka ianzishwe pia...
2 Reactions
11 Replies
535 Views
Habari zenu wana JamiiForums Naomba mnisaidie natafuta kazi yoyote kahama kama kuna mtu anamtafuta mtu wa kumsaidia kwenye kazi zake kama kuuza duka au kwenye restaurant kazi kama hizo naweza na...
3 Reactions
17 Replies
623 Views
Habari ndugu zangu, Wanahitajika vijana kwa ajili ya sales & marketing kwenye mradi wa real estate. Eneo ni Kigamboni Dar es Salaam Tuma CV yako kwenda; sophiahamidu59@gmail.com Piga: 0655738017
3 Reactions
0 Replies
380 Views
Hello, Mimi ni msichana ninayevutiwa sana na kufanya kazi Casino, sina connection na wala sijawahi fanya kazi hiyo. Naomba mwenye mapenzi mema anasaidie connection. Sipo DSM, ila naweza...
10 Reactions
99 Replies
5K Views
Natafuta fundi wa furniture mzuri awe dar eneo la kazi Mbezi Beach kwa ajili ya kufanya nae kazi ya kutengeneza furniture's mbali mbali vifaa nahitaji
1 Reactions
3 Replies
371 Views
Ni pongeze Utumishi wa umma Kwa hatua zote za uboreshaji wa Mifumo yao ya usaili na taratibu za kuajiri kwa ujumla Lakini naona ni muda muafuka Sasa kuweka matokea ya Oral hadharani ili kuondoa...
4 Reactions
8 Replies
506 Views
Wakuu..!! Kama mnavyojua sasa Serikali ipo kiganjani kwa kuthibitisha hilo, kwa upande wa utumishi wa Umma mambo yote ya kiutumishi yanafanyika kupitia mtandao(ESS). Hivyo basi nimejaribu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani niko Dar hapa naombeni please nisaidieni conection ya kazi please 0625544723
0 Reactions
7 Replies
484 Views
WALIMU SOMENI HAPA Difference Between an Aptitude Test and a Memory-Based Test Aptitude tests and memory-based tests are used for employment assessments, but they evaluate different abilities...
5 Reactions
31 Replies
5K Views
Habari za majukumu wana JF, Nina ujuzi wa masuala ya computer, hivyo natafuta kazi yoyote inayohusiana na IT au hata isiyo husiana na IT
3 Reactions
2 Replies
294 Views
Interested parties are hereby invited to tender for the Survey, Supply, Installation, and Commissioning of Battery Bank and Inverter System at the School of St Jude – Moshono Campus. For more...
0 Reactions
1 Replies
255 Views
POST INSTRUCTOR II - PRINT MEDIA - 1 POST EMPLOYER Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) APPLICATION TIMELINE: 2024-10-04 2024-10-14 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES To assist...
0 Reactions
1 Replies
146 Views
POST INSTRUCTOR II - MUSIC - 1 POST EMPLOYER Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) APPLICATION TIMELINE: 2024-10-04 2024-10-14 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES To assist Senior...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
Back
Top Bottom