Bwana Yesu Asifiwe!
Habari za wakati Huu Watu Wa Mungu Kwa Jukwaa Hili!!
Tumefungua Tawi Jipya Kimara Stop Over, Tunahitaji Vijana Kumi na Tano (15), Wanaoweza Kufanya Kazi Ya Masoko na Mauzo...
Naomben mwenye kunisitil anisitili ndugu zangu. Pakuishi ninapo lakin sina kazi ndugu zangu
Naombeni mwenye kunisaidia anisaidie kazi yeyote tu
Asanten sana MUNGU AWABARIK SANA
Mara nyingi...
Habari za mda huu wapendwa,
Mimi ni binti wa miaka 23. Elimu yangu ni kidato cha sita, niko hapa kutafuta ajira yoyote ile sichagui kibarua ilimradi kiwe na mazingira mzuri ya kazi (am...
AIBU NILIYOIPATA KWENYE INTERVIEW YANGU YA KWANZA.
Anaandika Robert Heriel.
Simulizi hii ni ya kweli, nimekumbuka tukio hili nikabaki nacheka Sana, naomba nishiriki pamoja nanyi huenda kuna...
Poleni kwa mzigo wa tozo, kodi na vat
Point yangu ni moja, since then nilikua napenda sana kufanya kazi kwenye migodi (kazi ya ndoto yangu) lakini sijawahi kupata connection za huko.
Kwenye...
Habari wakuu!
Nina ujuzi wa maswala ya store / Warehouse. Niliwahi kuwa stock controller kwenye deport Fulani ya kuuza vinywaji Kwa zaidi ya miaka mitatu.
Nilikuwa na deal na operation za pale...
Zamani hizi recruiting agency zilikua na msaada sana kwa watafuta ajira lakini siku hizi nyingi zimekua na ubabaishaji.
Siku hizi zimeibuka recruiting agency ambazo zinaomba fedha kwa watafuta...
Hata uwe na vigezo kiasi gani, kama huna connection Zanzibar hutoboi. Mfano mdogo ni ajira za hivi karibuni kuna jamaa alikuwa na G.P.A zaidi ya 3.8, vyeti vya ziada ikiwemo computer na interview...
Wakuu habari,
Nimeitwa usaili wa IT Security hivyo nimekuja kuomba muongozo ikiwezekana possible za maswali. Kuna hatua tatu, usahili wa paper, practical na oral. Je nifanyaje niweze kufaulu...
1.Jina la mkuu wa wilaya yako. (unapoombea)
Hapa utaulizwa swali hili kukupima na kukuangalia muombaji ni kweli unatoka wilaya husika ama la, inabidi mhusika umjue mkuu wa wilaya yako unapofanya...
Ninesomea Ualimu Shule za msingi nakuhitimu 2019. Nimesoma kujiandaa na usahili mpaka nimesahau Mwezi uliopita nilisoma nini. Imegeuka adhabu utumishi kama hamkuwa mmejiandaa mngeacha tuu.nilijua...
Wakuu ni hivi pamoja na kwamba sikuwahi kumaliza diploma in mechanical engineering. Lakini hapo nyuma miaka ya 2021-2023. Nilitamani siku Moja nifanye kazi kama fundi. Lakini baada ya mapito ya...
Habarini ndugu wana JamiiForums,
Hivi kiwanda cha Bakharesa pale Buguruni ni uhakika kupata kazi ya kibarua ukiwa na barua ya utambulisho wa makazi?
Na hivi wanalipa kwa siku au wiki?
Huu ni utani na wananchi ambao hawana ajira. Jiji la Arusha mlifikiria hili mkiwa wazima wa afya. Enyi serikali hebu wajarini wananchi wenu kwa usawa.
Watu hawana ajira, inatokea ajira ya muda...
Habari tena wadau.
Natafuta kijana mkazi wa Dar es Salaam, kazi yake itakua ni kutafuta tenda ya kubeba mizigo kwenye makampuni na viwandani kwa kutumia malori. Elimu kuanzia certificate, mwenye...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAPRESIDENT'S OFFICE
Public Service Recruitment Secretariat (PSRS)
Date: 17/09/2024WRITTEN INTERVIEW RESULTS
Tutorial Assistant (Electrical Engineering)
Chuo Kikuu cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.