Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Nikiingia kwenye account yangu kwenye sehemu ambako usaili utafanyika hakuna jina la kituo na badala yake wanaelekeza kuingia kwenye tovuti ya www.ajira. go.tz kwa taarifa zaidi lakini nako hakuna...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kuna baadhi ya waajiri wana tabia ya kuomba vitu vingi sana kwa mtu alietuma maombi ya kazi Mfano kuna taasisi flani waliwahi kutangaza kazi lakini kwenye usaili wanakuambia uende na barua tatu...
2 Reactions
3 Replies
398 Views
Habari Nina cheti changu cha form 4 kina madoa ila taarifa zote zinasomeka hakitaleta shida kuitwa kwenye interview ajira portal
1 Reactions
9 Replies
753 Views
Wakuu nina mdogo wangu kamaliza chuo last year, grade IIIA, Kila kitu nilimuwekea ila mpaka sasahivi grade III wengi wamekuwa shortlisted for interview yeye Bado. Nimeulizia nimeambiwa kwenye...
4 Reactions
47 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa, watu mnaoshiriki interview za kazi kama muombaji, HR au kama mratibu wa interview na kadhalika tunaomba mtusaidie tujifunze na kujiandaa vizuri. Ni ujuzi/skill gani ambayo...
8 Reactions
22 Replies
702 Views
Position: Radiographer Job Details Diploma in radiography or radiologic technology. A state license and certification to practice. Excellent communication, interpersonal, and patient service...
0 Reactions
1 Replies
293 Views
Most of job academic requirements in ajira portal exclude applicants. I suggest that the secretariat widen the window for applicants to be able to apply for most posts. For instance someone has a...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Habari za humu JF, natumai mko salama na mnaendeleza mapambano. Niende Moja kwa Moja kwenye ombi langu, naomba mwenye kazi ya usimamizi wa shamba lake, au kama Kuna mtu humu ndani anafahamiana...
0 Reactions
4 Replies
540 Views
Wakuu watu walioandikiwa shortlisted interview zao ni lini maana kwenye time table Niki-view hakuna kitu kipya kinachoonesha tarehe.
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za jioni mjamvi? Habari za leo waungwana? Siku ya tarehe 20 julai 2024, Tamisemi kupitia Utumishi walitangaza ajira za ualimu kwa ngazi za astashahada, stashahada, shahada na...
0 Reactions
9 Replies
14K Views
Habari wakuu Najitokeza kuomba ajira yoyote tofauti na professional,nimehitimu shahada ya utawala wa umma( public administration) mwaka 2018 mpaka sasa nimetimiza miaka 6 nipo mtaani Naomba...
6 Reactions
20 Replies
606 Views
JOB TITLE: OPERATIONS SUPERVISOR (CLEARING & FORWARDING) POSITION: 1 INTERTZ LOGISTICS COMPANY LIMITED Summary: Intertz Logistics Company Ltd is a registered company situation at the heart of Dar...
0 Reactions
1 Replies
758 Views
Habarini Wana JF nimehitimu mwaka huu Bachelor of Science in Chemistry lakini mpaka sas sijapata ata sehemu ya kujishikiza hata part time licha ya kuaapply internship sehemu mbalimbali. Natafuta...
23 Reactions
106 Replies
4K Views
Nipo Mwanza kama kuna tu ana connection yoyote ya kazi aniunganishe mtaani kugumu sana. Nina elimu ya degree na pia leseni ya udereva umri wangu miaka 35. Nisaidie wakuu
6 Reactions
15 Replies
688 Views
Nichukue nafasi hii kuomba nafasi yoyote ya kazi Kwa mtu ambaye yupo tayari kunisaidia kwa hili namba zangu ni 0676917970 Cheti Cha form 4, 6 na Chuo kikuu ninavyo N:B Kazi yoyote Ile nipo tayari
4 Reactions
7 Replies
400 Views
Habari. Mchakato wa ajira zilizotolewa kwa kibali cha Raisi wa Jumhuri ya muugano wa Tanzania. Majina yaliweza kutolewa siku za hivi karibuni lakini kiukweli kumekuwa na malalamiko makubwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mdogo wangu kamaliza chuo mwaka 2021 kasomea mambo ya Maabara za Hospitali na anayo leseni hai kabisa kwa sasa anapatikana Dodoma. Anaomba kazi ya maabara za hospitali kwa mkoa wa Dodoma...
0 Reactions
4 Replies
295 Views
Back
Top Bottom