Kwanza niipongeze wizara husika Kwa hatua iliyochukuliwa ya kuwafanyisha usaili ..maana italeta haki Kwa watoto wasiokuwa na watu au connection za kuwaingiza kwenye system Yani ufaulu wako ndo...
Kuna interview zimeanza Jana Kada ya afya ila Kuna baadhi ya wasimamizi sijui ni kwa maksudi ama bahati mbaya wameamua kuharamisha mchakato mzima wa usahili.
Natolea mfano kituo cha Zanzibar...
About IRRI
The International Rice Research Institute (IRRI) is dedicated to reducing poverty and hunger through rice science; improving the health and welfare of rice farmers and consumers; and...
Invitation to Tender (ITT)
Tender Ref. No. PIT/RUK/01/FY25
Supply Of Construction Materials For Primary School
Classrooms, Nkasi District Council, Rukwa Region.
Plan International is an...
URGENTLY NEEDED
Medical Doctor (2)
Requirements:
*Valid licence
*Good in obs, gyn and surgery.
Location- kijichi DSM
Send your CV 0684261334
Attractive salary
Deadline 7/9/2024
Hello,
Naomba mnisaidie ambao mmeudhuria interview za utumishi.
Kwenye vyeti vya form four, six, chuo na Cha kuzaliwa natumia majina mawili tu (AMANI FOCUS)
Kwanye kitamburisho Cha mpiga kura...
Naomba kufahamu kuhusu hili. Kuna ndugu yangu ali update kimakosa G.P.A yake ya chuo ajira portal akaandika 2.8 baada ya 3.5.
Je, hapo kuna tatizo lolote na inawezekana ku update?
Naomba msaada kwa, wale wazoefu wa huu mfumo wa ajira portal , baada ya kumaliza kutuma maombi kuna baadhi yetu wamepokea jumbe kwenye email zao kua wamefanikiwa ila kwa wengine hakuna...
Habar wana JF,
Naomba kuuliza hivi ukiwa una apply job kupitia ajira portal kuna haja ya kuattach CV au una preview tu details ulizojaza mwazo na kuattach.
Habari za majukumu wana familia wa Jamii Forum,
Natafuta kazi. Nina elimu ya certificate ya Mipango Miji ila nimeshajaribu kutafuta kazi nimekosa ni muda sasa nina umri wa miaka 32.
Kwa wale waliosoma kozi za afya ..wameita kwenye interview lakini malalamiko yamekuwa mengi hasa kwa wenye shahada za uuguzi Na udaktari ,, shime shime shime, vijana wenzangu twende tukafanye...
Graduate BA majored Economics
Nimepitia mafunzo ya ualimu.
Uzoefu kufundisha Economics, Geography (1&2) na GS miaka 10.
Kwasasa nashughuli binafsi (usaidizi na ushauri miradi na uandishi...
Mi mamaa mtu mzima anahitaji kazi
Kulea wazee. Kuangalia mzazi aliejifungua n.k
Yupo Dar. Kazi kazi za nyumbani. Mshahara uanzie 150,000
Ni mchapakazi. Hana mume wala watoto, sio msumbufu.
Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi (CCM) Noah Lemburis Saputi amesema ipo haja ya wataalamu wanaoandaa vigezo vya ajira kuangalia hali za Watanzania kwani kigezo hicho hakiko sawa huku akitaka...
VAS Software Integration Engineer
Posting Country: Tanzania, United Republic of
Date Posted: 30 Aug 2024
Full Time / Part Time: Full Time
Contract Type: Permanent
At Vodacom, we’re working...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.