Naomba kujua utaratibu wa Mtumishi wa Umma kujiunga na vyama vya wafanyakazi.
Ni halali mtumishi kuanza kukatwa mshahara wake bila idhini yake na kuchangia vyama vya wafanyakazi? Hatua gani...
Wasalaam
Kwa ambao wameshafanya usahili wa polisi unaoendelea.. nisaidieni hivi wanauliza maswali ya namna gani..
kuna mdogo wangu anafanya kesho Iringa..
Wasalaam.
Heshima mbele kama Tai
Na tafuta sehemu ya kujitolea kwenye NGO yoyote. Nipo Dar es Salaam nimesoma Project Planning and Community Development.
CVkwa ufupi
Age 25
Place dar es salaam
Experience. Biko sales
Nom...
Habari wakubwa mbele yenu ni mdogo wenu fresh graduate wa degree ya sheria Niko mkoa wa Mwanza lakini niko tayari kwenda sehemu yoyote muhitimu wa shahada ya sheria
Naomba ajira au nafasi ya...
Sasa hivi natamani nipate ata kazi ambayo nitalipwa ata laki na nusu ila sipati
Kweli MAISHA yana ramani na aliyemchorea masikini pen ili mgomea njiani
Napata makapi vinono navitamani
Habari wakuu, samahani kwa mwenye uelewa wowote kuhusu usahili kwa kada ya Afisa Afya Mazingira anisaidie, pia nakaribisha wanakada wenzangu tujadili kujiandaa na usaili .
SHUKRAN IN ADVANCE
Salaam Wana JF
Mimi ni MTZ mwenzenu naombeni connection za ajira tayari Niko Canada ila ajira ni ngumu kweli kweli, na Kuna mpaka matapeli usipokua makini utalia mambo yanayozungumzwa nyumbani...
Habari,
Mimi ni mhandisi ambaye niliajiriwa ajira za waalimu kwa tangazo la mwaka 2020 kwa niaba ya wenzangu wahandisi kutoka shule za ufundi tunapenda kutoa masikitiko yetu juu haki zetu kama...
guys natakiwa kwenye final interviews its all about excel , i will be given computer and excel sheet with questions , pls nipen ma formula na techniques wadau, nimetumia excel ofcn for more thn...
Habari zenu waungwana? Ninaleta kwenu ombi la nafasi ya kazi kwa shule ambayo ina uhitaji wa mwalimu wa masomo ya physics na chemistry. Ni binti.
Amemaliza chuo mwaka jana. Shule iwe Dar es...
Wandugu nipo nje ya mfumo sana na sijawah kutuma maombi ya ajira nje na mfumo ule wa mwanzo wa online application.
Sasa naomba kwa anaejua anipe ABCD kidogo ya namna ya kutuma maombi
Nawasilisha
Wakuu za mida,
Natafuta mtu wa ku translate document kutoka English to swahili. Ni kazi ya haraka please share your contact nikutafute. Sio mambo ya Google translator please! Hiyo hata mimi...
Kwanini PSSR siku hizi wanaita watu kazini kwa awamu, badala ya kuita wote kwa mkupuo kama ilivyozoeleka?
Yaani mfano, tumeomba kazi mwezi wa 5 mwaka jana, tukaitwa interview mwezi wa kwanza na...
Ndo hivyo wakuu Hali sio Hali nimeamua nipige yowee mwenye maskio na asikie, maana jiwe limepigwa gizani na Mimi ndo nilikuwa nimejificha humo na jiwe ndo limenipata😓
Mimi ni kijana wa makamo tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.