Habari wana JF,
Kidogo nimekua nyuma kuhusu maswala mazima ya Pay TV na technolojia wanazotumika kufunga channel zao na kumwezesha tu yule aliyelipia kuweza kuzifungua
Huu uzi unaweza usilete...
It will happen to everyone eventually losing your mobile phone, or having it stolen. A few years ago, they only way to get it back was to look everywhere, or hope someone turned it into a police...
Habari wanajukwaa ningependa kufahamu kama ukitumia vpn applications basi inaweza kuongeza speed ya intanet maana nimeshuhudia kila nikitumia vpn basi hata name of the isp provider linabadilika...
Habari,
Tangu jana computer yangu imepata tatizo la internet connection ambalo halikuwepo kabla. Ninapoconnect moderm(ya Airtel)ambayo ndi huwa naitumia kila siku inagoma na inaandika
"A...
Part 1 ipo HAPA
OR GATE
Input yoyote au zote A au B ikiwa ni TRUE(1) = (positive 0r 0.5-5v) basi output yake itakuwa TRUE(1) =(positive or 0.5-5v)
Kama input zote A and B zikiwa...
Habari web designers, & developers!
Kuna mteja baada ya kuwa nimemdesignia website yake kupitia Adobe Muse, ikawa hosted na nikapewa na cPanel...ila yeye anataka kuwa akiedit na kuadd content...
Natumia LAN kupata internet kwenye pc yangu ya DELL, wiki moja sasa nikitaka kuingia kwenye mtandao inaniambia ni login kwenye Cyber Captive Portal ambayo mimi siifahamu. Inaniletea kiwindo...
Wadau naomben msaada wenu wa jinsi ya ku unlock nokia obama kwa kuwa security code zake nimezisahau na ninaamin humu kuna magwiji watakaoweza kunisaidia common unlock code kwa simu za namna hii...
var arr = ['first item', 'second item is longer than the third one',
'third longish item'];
var lgth = 0;
var longest;
for(var i=0; i < arr.length; i++){
if(arr[i].length >...
Habari wadau wa Jukwaa hili
Mimi sio mtumiaji wala muuzaji wa simu hizi.
Lakini nimetokea kukutana na matangazo mengi ya wanaoziuza simu hizo,lakini naamini wanaoweza kusema ukweli kuhusu ubora...
Kwa wanaofahamu,
Naomba kufahamu namna ya kufungua zile channel zinazo kuwa encrypted.
Kwa wale waliowahi kutumia hizo DECODA za Star Times wanaifahamu ile alama ya dolla
($) ambayo huwa inatokea...
Habari wanaJF leo nimeamua kuanzisha mada inayohusu the whole industry of logo designs hivyo basi unaruhusiwa kuchangia chochote unachojua kuhusu logos.
logo is the visual presentation of of an...
Hey,
For a week now I am husttling with my f$$$ckng iphone from Apple...
Can you help me how to unlock to get network service like tigo, airtel and vodacom
Unajuwa hawa watu wanaziba...
Habari za jioni wakuu!
Naomba kujuzwa android app ambayo naweza kucheki video (kama ilivyo kwa tune in radio ambayo unasikiliza redio stations nyingi) nahitaji kama ntapata app yenye na sports...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.