Nokia yatoa majibu kuhusiana na suala la iwapo itaendelea au itasita kuzalisha simu tena. Microsoft iliwahi kuchapisha madai ya Nokia ya kutozalisha tena simu za Smartphones baada ya kununua...
Kutokana na maombi ya wadau kwamba tuangalie namna gani tunaweza kuzibadilisha stabilizer za kawaida na kuwa voltage booster ili tu ifanye kazi ya kuongeza nguvu ya umeme kwa maeneo yenye umeme...
Habari zenu wadau wa science&tech naomba kujua kuwa notification alert kama nayo inakuwa kama notification za whatsapp au fb kwenye smart phone au inakuje?
Maana kama notification ndio nimeanza...
Wana JF naomba mwenye software ya ZTE Join Air au kama kuna software yoyote inayoalow one modem kucnnect na multiple line, anitumie kwa email hii engulwa@gmailcom
Nitashukuru sana
:horn:
Habari wakuu mi ni mgeni katika window 8 nime install kama kawaida kwa Ku-copy, Kama mnavyojua kununua c mchezo.
Naomba kujuzwa jinc ya kuactivate iwe genuine ya muda mrefu.
Coz inaandika your...
Habari
1.Ukitaka kuweka Wi-Fi kwa wahudhuriaji wa tukio mfano NYAMACHOMA FESTIVAL kwenye open spaces kama viwanja au ukumbi inawezekana kwa watu angalau 1000?
2.Vifaa au Resources za aina gani...
Naomba mwenye link iliyopo humu ndani ya jamvi inayohusu hii Windows aniwekee hapa sabau mimi sifahamu jinsi ya ku-search thread zilizopita. Nikipata na ile ya Windows 7 itakuwa vema wakuu...
katika hali isiyotegemewa leo asubuhi nokia wamezindua tablet ya android.
specs
-7.9-inch display IPS LCD 2048×1536 resolution display
-Gorilla® glass 3, Fully laminated zero air-gap...
Kuna watu kwenye hili jukwaa ukiwa unaomba msaada wa kudownload kitu wanakwambia tafuta Torrent, lakini kiukweli torrent haina maana kama hujui jina la software unayoitaka na pia kama haiko...
Je? umewahi kukukutana na vikwazo mbalimbali kama vile kutakiwa kujaza jina lako na email address ili uweze kupata huduma mtandaoni?:A S confused:
kamwe usidhubutu kuweka taarifa zako kama...
Habari za humu, samahani kwa mtu anayejua jinsi ya kujiunga internet kwenye iphone 4s ya kichina kila nikifungua kwenye settings halafu nikifika network nikigusa inakataa kufunguka, kwa anayejua...
Microsoft Office 2016 Pro Plus Beta
Its a well-known fact that Microsoft is working on a new version of Office that could arrive in the second half of 2015, but the company has until now kept...
Wadau wa Tech, Gadgets & Science Forum mpo?,mimi mzima.2014 ndio hii inaishia .jana niliamua kutenga saa kadhaa ku-create tangazo fupi la JF ambalo lipo ktk mfumo wa motion graphics.Ni zawadi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.