Wakuu Nina galaxy pocket hapa tangu Jana inajizima na kujiwasha automatic Ina Kama miaka mitatu mkononi kwangu sijawahi kuexperience Hilo
Shida ni nin?
Msaada
Habari wana Jamvi,
Naomba msaaa wa activator loder ya window 8.1 mwenye nayo anisaide au anipate link niweze ku download coz nime download but does work
Hello,
Which can you recommend with reasons as the best web hosting server taking into account storage, bandwidth, uptime guarantee, dedicated plan, technical support, security, optimized...
Standby
A glance screen that shows the time and battery percentage only while charging. Even for Non-Lumias
Cortana can be called even with the screen off.. [hardware support needed .. phones...
Habari wakuu
Jaman msaada natumia Y300 najaribu kurudsha whatsapp lakini wapi nmeweza kuregister my phonr number lakini inaniandikia INITIALIZATION PLEASE WAIT
Please help me with the unlock code for this ALCATEL airtel mobile broadband modem ce0700 tct mobile limited BKX one touch X230E 01 Z128 X230E-2LATTE3-1
IMEI: 867612008738290
Please kindly...
Natumia Epson printer px 660, natumia wino za nje. NImeclean head zaidi yz mara kumi na bado niki check nozzle nakuta bado haijakaa vizuri, what should i do then?
Habari zenu wakuu,
naleta mada ambayo napenda tufundishane namna ya kutafuta unlocking code za simu. Imekua utamaduni kwa watu baadhi kuomba fedha nyingi sana ili kufanya hiyo kazi hivi ni kweli...
How to Increase Internet Speed.
Whether you are at home or at work, having a fast and efficient Internet connection is a vital component of your daily life. Slow speeds and weak connections can...
Habari za saa hii wakuu. Nimeanza kutumia After Effects, lakini nina shida kidogo. Niki-import clip kwenye project, nikiishusha kwenye composion, wakati wa ku-play hakuna audio.
Kwenye media...
Wakuu habar zenu, naombeni msaada jinsi ya kudownload adobe acrobat for pdf files, nilishajaribu nimeshindwa maana nikiingia google naziona nyingi sasa nashindwa kuelewa ipi sahihi.
Habari za usiku huu wanajamvi ?
Nashindwa kudownload apps kwenye Tecno M3, katika Play Store. Kila nikijaribu inakuja meseji hii "unfortunately google play store has stopped".
NAOMBENI MSAADA WADAU.
Nina projects nying nimezi-design nyingine zinahitaji mitaji mikubwa hivyo nilitamani nijue ni kampuni gani kwa tanzania naweza kushirikiana nayo katika kuziunda project hizi kwa malengo ya...
jinsi ya kucheza game la vita kwenye tecno h5 .kuna sehemu ya kumsafirisha mgombea kupitia kwenye magenge ya waasi pale nimeshindwa kuvuka basi aliye weza kupacheza anierekeze alifanyaje linaitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.