Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu kuna mtu yuko india nataka nimtumie hela Sasa kuna complicate kidogo coz nimetaka kutumia akaunti yangu ya akiba bank wameniambia hawana hyo huduma Pia nimetka kutumia card yangu ya visa ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada jaman jins ya kutoa na kupata betri kwenye galaxy tab Model Sch-1800, VERISON WIRELESS , MADE IN KOREA BY SUMSUNG.. Mwenye ujuz bas wataalam
0 Reactions
0 Replies
765 Views
ni hayo tu wakuu ntashukuru kwa msaada
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba msaada wenu katika hili, mara nyingi tumezoea kucheza games za PS2 kwa njia ya kawaida ya kutumia CD. Lakini kuna namna ya kucheza PS2 kwa kutumia flash drive. Kwa mwenye...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Jamani samahani naomba mtu anisaidie kudownload majina ya walio pata mkopo hapa Home halafu uya converty kwenda,kwenye pdf na kuyaweka hapa ni ya download msaada tafadhari
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Guys nina kimeo changu cha tecno h5 android version 4.2.2 na nishakiroot tayari, Naomba mwenye idea ya kuniwezesha kufuta zile pre installed apps anielekeze....nimechokonoa mtk droid tool mpaka...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Naomba msaada wadau, ninagari Noah inanakifaa cheusi kimeandikwa ETC STATION nina muda sasa sijajua kinafanya kazi gani?, nilichojifunza wengi tunamiliki magari kunavifaa vingi hatujui kazi yake...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani nimepata hii simu lakini cha kushangaza haikamati 3g pia hii simu ipo slow sana yana ukitaka kufungua kitu has uwanja wa mesej inazunguk wee mpk mpak basi, niifanyeje ili uwe na kasi na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wakuu hapa tatizo nn nn natumia be smartphne
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hv maana ya biss key nini? nilikuwa nataka kujua jinsi ya kufungua scramble channel kweny arisat Ar600 receiver na jins ya kuweka biss key
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Naomba Msaada nokia lumia 920 haiingiz chaji na ukichomeka chaji inaweka symbol ya betri na kiulizo baada ya muda kidogo inapotea
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Guys naombeni msaaada
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Google has quite a few products to launch this fall, from hardware like the Nexus 6 (also rumored to be called "Nexus X") and the Nexus 9 tablet to software platforms that include the next major...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimebadili window 8 katika laptop yangu na kuweka 7, matokeo yake katika desktop betri imeweka alama X, na inasema consider replacing your battery. Nimeangalia driver za betri zipo sawa, tatizo ni...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kuna Systeme naifanyia kazi, sasa mimi ni programa wa JAVA na nilichokifanya hapa kwenye JAVA ni sahihi kabisa ila kwenye PHP naona semantic Error. Tatizo ni moja, kwanini inashindikana ku call...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Guys nahitaji msaada jinsi ya ku unlock modem yng ya ZTE kwa all mobile operators, now ina allow two operators only Vodacom na tigo
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nahitaji mtu mwenye kufahamu ili tatizo simu yangu ya huawei inatatizo, nikipiga picha nikiingia kuzifungua zinakuwa black ama zinafunguka nusu..ni nini tatizo litakuwa.
0 Reactions
5 Replies
904 Views
MADHARA YA UMEME MDOGO AU UMEME MWINGI KWA WATUMIAJI WA MOTOR ZA UMEME. Matumizi ya motor yamekuwa mengi sana hasa katika viwanda vikubwa na vidogo. Vile vile watu binafsi...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Simu yangu inaniletea ujumbe Wa "restricted access changed" tatizo nini ? Niingie wapi ili nitatue tatizo. Simu ni HTC one
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom