Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
£ 5 unapewa dakika 30 kupiga Tanzania wakati nchi nyingine ni masaa 3 na zaidi kwanini Tanzania gharama ivyo?
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Airtel waja na kifurushi kipya cha internet. Kinaitwa OMg Bundle. Gharama zake ziko chini na kiasi cha data wanachokupa ni cha kuridhisha kama ilivyo hapo chini: Sijajua kam speed imepanda...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
habari zenu wana jamvi , wakuu naomba msaada wenu natumia window 8.1 pro. nilikuwa natumia viber ambayo inapatikana store nika uninstall sasa najalibu kuinstall tena napata ujumbe huu YOUR...
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Habari wakuu Msaada jinsi ya kuflash modem ya huawei airtel lakini siku hiz nikijaribu kuztumie zile file hususan huawei flasher haiend inaishia kuleta message ya can connect bye.... bye...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wanajamvi naombeni msaada jinsi ya kuconfiga internet katika simu hizi mpya za tigo za Huawei Y530. Android version 4.3 na ni tigo.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu, Jana nimeona debit za ajabu kuhusu itunes mpk nimeamua ku-freeze account kbs kwa sababu hawa apple sijui mtandao umekuwa mbovu ama kuna shida gani wanakata mnoo hata vitu...
0 Reactions
2 Replies
816 Views
Mimi nateseka na tigo pesa jamani kila nikitaka kutumiaa inasema namba ya siri imekosewa nikiweka kwenye simu nyingine unafanya kazi
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Habari wakuu, mimi nashindwa kutumia hotspot inaaema for commercial dial...... and for business dial..... nifanyeje?
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Wakuu baada ya kupata kpata comments zenu kwenye ile beat ya kwanaza nimetengeneza Hii beat ya taratibu kidogo.... Mnaweza mkanipa maoni yenu pia kuhusiana na hii beat ya sasa
1 Reactions
6 Replies
2K Views
UFO refuels in jet chemtrail over Amsterdam (Video) A UFO appears to refuel itself in the chemtrail wake of a jet flying over Amsterdam...
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Developers wa kinaijeria wametengeza App inayokokotoa kiwango cha mahari kulingana na sifa za mwanamke (wa kinaijeria) anayetarajiwa kuolewa. Kabla hatujaendelea unatahadharishwa kuwa App hii ni...
0 Reactions
2 Replies
981 Views
Ninatumia tecni p3 ninaitaj malekezo jinsi ya kupata notification za jamii forum mtu anapo reply au kuquote kwenye thred yang ahsante wakuu
0 Reactions
1 Replies
756 Views
Habari wakuu, Naombeni msaada wenu wana JF wenzangu Nashindwa kuweka posts kwa kutumia JF app katika simu yangu, naombeni mnipe njia ya kuweka posts kupitia app ya jf
0 Reactions
3 Replies
804 Views
Baanda ya kudownload IOS 8.0.2, simu yangu imepotenza option ya kuituimia kama personal hotspot. Naomba msaada wa jinsi ya kurejesha hii huduma ili nisirudi kwenye modems!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Ni mtumiaji mpya wa smart phone. bahati mbaya nimebonyeza narrator bila kujua na anataja kila ninachogusa. Natoaje? Natanguliza shukraan
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Wakuu naomba tujulishane hapa browser unayoikubali on your android device.Mimi binafsi natumia Uc browser tena naikubali sana just try it uone!!! sijui wenzangu mnatumia browser zipi karibuni
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Wataalam wangu kwema? habarini za jumapili???? naombeni msaada kama kuna mwenye link au ufahamu wa software/application ya kusaidia ku copy files kwa haraka, ninatumia super copy ila naona kama...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau una unlock vipi au ku add icloud account
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Shukrani kwa wale walio jitokeza katika workshop ya Electronics tarehe 27 September 2014,naamini wamefurahi katika nafsi zao kwani workshop ilikua nzuri sana hadi ikabidi tuongeze siku,,pia...
3 Reactions
9 Replies
8K Views
1."Your work is going to fill a large part of your life, and the only way to be truly satisfied is to do what you believe is great work. And the only way to do great work is to love what you do...
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Back
Top Bottom