Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Unaweza kununua simu imeandikwa at&t au verizon au sprint na ukija bongo ukaitumia bila shida?? Msaada tafadhari chief-mkwawa, @c6, CYBERTEQ, privacy, mwl rct njunwa wamavoko
0 Reactions
13 Replies
3K Views
wakuuu.. bado naendelea kufurahia online tv kutoka kwa clouds tv pekeee tu Tanzania nzima.. tujuzane tv/channels nyingine tafadhali....... nawasilisha.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The eight-week-old social network Ello has a manifesto: no ads, no data-mining, no algorithms that make decisions about what you should see, no turning users into products. If you hit the “I...
0 Reactions
0 Replies
757 Views
Tunaishi port elizabeth,south africa.tunaomba kujua kama itv wamebadilisha frequence,tbc tunapata katika intel906,3891mhz,4445 symbol rate tunaomba anayejua manake kuna mambo tunamis
0 Reactions
1 Replies
3K Views
jaman mtu yoyote anayejua kudownload game set up kwenye pc
0 Reactions
9 Replies
1K Views
WanaJF natumia iPad2 nashindwa kupata free setup ya whatsup naomba tafadhali anaejua namna ya kuidownload na kuinstall anijuze
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, Nawaletea feedback kuwa AT&T Iphone 5 unlocked within 48hrs now its working perfectly... all credit goes to Brakelyn ndiye aliyefanikisha mchakato huu.... thanx alot bro keep...
0 Reactions
4 Replies
813 Views
Wakuu wa Gadgets naombeni msaada wa key niweze kuhakiki hii simu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna ndugu yangu ni dent ananiomba nimnunulie simu,. Simu gani nzuri angalau ya laki na nusu yenye whatup na ma fb?
0 Reactions
10 Replies
12K Views
wakuu habari ya jioni. s4 yangu inaniletea mawenge siku ya nne sasa internet napata kwa opera browser tu. yaani watsapp nasoma text tu image na video hazifunguki. facebook app halikadhalika...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Lengo la mafunzo haya ni kuboresha ujuzi wetu katika uundaji wa vifaa mbalimbali vya kielectronics. Sababu kubwa ya kutaka kuboresha ujuzi wetu ni katika kuachana na uundaji wa...
4 Reactions
5 Replies
6K Views
Wadau ninahitaji sana kutengeneza Blog ya kwangu kwa ajili ya Jamii, Elimu na Biashara pia. Kwa anayefahamu please anielekeze namna ya kutengeneza na Host nzuri ya kujiunga nayo ambayo ipo free...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani simu yangu ya coolpad 4G LTE ina tatizo la kutoonyesha salio la M PESA pekee yake nifanye nini?
0 Reactions
1 Replies
918 Views
Check out how we at Watabe Labs use Sublime Text with the Emmet plugin to automate our daily coding workflow, a new post on our blog Here
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Kuna mtu amekua akirekodi mawasiliano ya cm yangu .... yaan sms zote ninazotuma na kutumiwa yy anaziona pia hata nikipiga au kupigiwa anasikiliza maongezi yangu...... nisaidieni njia rahisi ya...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
wanasema your phone might be broken but i dont know how.....na je is there a solution for that? ni hayo tu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba ushauri kuhusu hii account.Nimejaribu kusoma maelezo yake lakini bado sijaelewa.Naomba anyeweza kunishauri katika lugha nyepesi.
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Nimeizima vizuri lakini leo kuwasha imegoma kuwaka nimeifungua ndani kwenye motherboard kuna kitaa cha kijani kinawaka tatizo itakuwa ni nini na nifanyeje kuifanya iweze kuwaka ? Sent from my...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
ndugu na marafik naomben msaada, nina nokia lumia 920 ila inatatizo la kujizima zima. Mfano ukipiga picha inazima, pia sometime inajifungua yenyewe ile search ya bing.
0 Reactions
7 Replies
999 Views
Hello wanaJF, We are Powercomputers, we are official authorized dealer of selling,providing services, and support to the TALLY customers if you need to purchase this accounting software or you...
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Back
Top Bottom