Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu naombeni msaada wenu kuhusiana na hii program, wanasema inauwezo wa kurestore data/file ambalo lipo parmanently deleted, wakuu naombeni msaada wenu jinsi ya kurestore kazi yangu nliokua...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Stunning photos taken of secret lava cave Nature photographer Josh Hydeman explores an underground cavity formed by flowing lava 8,000 years ago in a location somewhere in Washington...
0 Reactions
1 Replies
990 Views
Habari zenu wakuu, Natumia iphone na mpaka kufikia leo natumia application ambazo ziko free. Sasa kuna application ambazo nataka kupurchase ila napata kikwazo kwenye payment method. Kadi yangu ni...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Katika uchunguzi wangu nimegundua uwezo na speed ya intaneti kwenye simu inategemea pia setting za apn (access point names) ukiwa na apn nzuri unaweza kupata hata intaneti yenye kasi inayoweza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za Asubuhi wana JF, Leo asubuhi maeneo ya Banana nimeibiwa simu yangu aina ya Asus Zenphone5,naombeni msaada kwa yeyote ambaye anaweza nisaidia jinsi ya kuipata hii simu kwa namna yeyote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale mliopo kwenye vikundi kama vikoba, mashilika au vikundi vya watu na huwa mnatumia simu kwa ajili mawasiliano, ni kwamba kampuni ya simu ya zantel ina huduma maalumu kwa ajili ya watu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za Asubuhi wana JF, Leo asubuhi maeneo ya Banana nimeibiwa simu yangu aina ya Asus Zenphone5,naombeni msaada kwa yeyote ambaye anaweza nisaidia jinsi ya kuipata hii simu kwa namna yeyote...
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Natumia pc HP pavilion dm3 ina hdd 320 na ram 4gb AMD Athlon Neo X2 dual core Processor L335 1.60GHZ Tatzo lake inakuwa Too Hot kweny upande wa HDD Msaada wenu kwa kijana wenu hapa
0 Reactions
2 Replies
924 Views
Nataka kudownload movie hii hapa chini kutumia nero au express burner,je kuna haja yoyote ya kui convert kuwa kwenye DVD format kabla ya ku download? Msaada kwa anaefahamu tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
843 Views
Hivi nikitaka nitumie internet kwenye blackbery 9530 ni mpaka niende kwenye ofisi husika au kuna njia mbadala?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habar wakuu Leo katika kupita pita nimekuta hii mahal fulan nimesoma naona haina tofaut na google adsense mwenye kujuah atufanulie tafadhali http://www.server.tanzaads.com/ Cc Donn...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kuelekezwa namna ya kutumia twitter na FB kwa pamoja pale nnapo post tweet itokee kwenye wall ya fb
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wakuu habarini za asubuhi! poleni namajukumu, Nina laptop ya dell satelite 530 ina vga card ya 64mb yaani kuna gemu la assan creed hata ailisukumi. Nisaidieni kwa hilo kama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wataalamu naomba msaada,simu yangu ni nokia asha 201 inatatizo la kujirestart kwa muda mrefu sana pindi ninapoizima na kuiwasha,hii imepelekea nichaji simu bila kuzima naomba kujuzwa tatizo ni nini?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Are there any computer programming enthusiasts in Dar es Salaam? I would like to meet other coders to develop my skills and develop mobile applications.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
HELLO! SIMU YANGU TAJWA HAPO JUU IMEKUMBWA NA MKASA WA KUWA LOCKED.Imedisplay McAfee mobile security ,wataalum wa hili suala tafadhali nielekezeni kama kuna software yoyote ya ku-unlock,au kama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
jaman vijana ajira hyo apo..mm siyo mchoyo,mm n mmliki wa blog moja hapa tz nilianza hii biashara miezi sita iliyopita sasa napoelekea ni pa zuri lich ya changamoto hapa na pale one day na mm...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Amani kwenu wote. Samahani ni software ipi bora ambayo inaweza kuplay video mfululizo ndani ya smartphone bila kuchagua kwenye folder tena. Natanguliza shukraan
0 Reactions
2 Replies
1K Views
napata kigagaziko kuhusu hizi simu na ipi ni bora sijui tofauti yake naombeni wajuzi mnitofautishie
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wajameni kamchina kangu tekno p3 kanajaa kila dakika, nitawezaje kuongeza ram yake, au ndo hivyo tena nisake mkwanja nipande grade?
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Back
Top Bottom