Process zote nimefanya. Nikaambiwa wamekata $1.99 nikicheki kwenye statement nitaona kuna makato toka paypal na digits 4.
Leo wiki ya tatu sijaziona. Nimeshaomba statement bank mara tatu wapi...
"The server at olas.heslb.go.tz is taking too long to respond.
The site could be temporarily unavailable or too busy. Try again in a few moments.
If you are unable to load any pages...
Ingawa mwanzoni ilikuwa vizuri kwenye kukremu maneno but imefika mahali ikapoteza memory completely.
Nimecheki online nikakuta ni tatizo la wengi na wapo wanaoshauri kuinstall google keypad...
Wakuu habari?
Kwa yeyote mwenye maujuzi na simu tajwa hapo juu.
Tatizo kila niki install application, inaniambia file manifest, au error no space available.
Tatizo nini? Au niguse wapi kwa...
Wadau najaribu kutafuta tunein application for PC. Kuna mtu yeyote aliyefanikiwa kuidownload na kuinstall?
In case you are not aware, tunein application enables you to listen to variety of radio...
Nimejaribu ila kila mara naambiwa nimekosa namba ya siri au namba ya kadi, namba ya kadi ni ipi!? Maana mimi natumia hizi namba 16 ziko mbele ya kadi na bank ni CRDB mtandao ninaotumia ni vodacom...
How to unlock tecno d5.
Bahati mbaya sikuwa na google email halafu nimesahau pattern please naombeni mnisaidie ku unlock my phone nimejaribu ku flash imegoma nimetumia njia kama ya ku unlock...
Pamoja na majonzi makubwa yaliyotupata, tupeane pole wote kwa kuondokewa na kipenzi cha dunia nzima Nelson Mandela.
Nina tatizo nimejiunga na group ambayo heading yake na content zake ziko tofauti...
Naomba kutoa tahadhari kwa anae tarajia kuroot simu yake kwa kutumia Framaroot.
1--> Hakikisha simu yako ni original mfano kama ni tecno basi iwe tecno original sio copy,na nyinginezo zisiwe...
Nashindwa kufungua file ambazo nimedownload kama matangazo hivi, vitabu cjajua kwa nn naombeni msaada.
Mfano file ambalo lipo katka systm ya PDF nikidownload cwezi fungua plz nifanyaje?
Habari wanaJF, kuna hii kampuni ambayo ni mawakala wa Toshiba, Dell na Hp wako Upanga UN road, jengo la Swiss tower. Kuna jamaa yangu kanishauri niwapelekee PC yangu ili itibiwe matatizo yake...
Habari wadau? Nahitaji kununua gari aina ya Mazda Attenza Sport Wagoni, engine L3, Displacement 2300, Four Cylinders ya Mwaka 2003. Naomba kama kuna mtu yeyote mwenye ufahamu na gari hii in terms...
kwa mujibu wa mitandao ya neowin na mingineyo wameanza kupost picha na video za iphone 6. picha zimetolewa na mtandao wa kichina na wale jamaa ambao ndio hujulikana kwa kuleak product za apple...
Habar ndugu zangu, ninatatizo kwanye simu tajwa hapo juu, tatizo lilianza baada ya kui-reset yaani haikamati internet kwa namna yoyote, na ukikonect data inaonesha iko ON ila ile alama ya E ya...
Hapo kabla sikujua tatizo ni nini, ila nikawa nikibadili line nyingine katik simu yangu(android os) tofauti na airtel hili tatizo la GPS kujiwasha halipo.
lakini nikitumia internet ya airtel GPS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.