Wanabodi naomba msaada simu yangu ya Samsung galaxy mini s5570 ime freeze for two days now. Inawaka na kuzima kama kawaida ila tu touch screen hairespond. Nimejaribu kufanya hard reset sifanikiwi...
Habari wana JF,
Nina camera aina ya FUJIFILM ina tatizo upande wa lens haitaki kuingia ndani, tatizo hili lilianza baada ya mtoto kuichezea naomba anayejua namna ya kuirekebisha anielekeze cha...
Uzi huu unawahusu wale wote waliosoma, na wanaosoma radiography, iwe ni MUHAS au CUHAS. Karibuni tujadili changamoto za taaluma hii na faida kwa ...
ATOM FOR PEACE...
Samahani jamani nilikua na bb 9800 ya vodafone nikafungua email ya voda sasa nimebadili nina bb9780 sasa tatizo nikifungua email kwenye hii simu mpya inanitaka password za email ya voda ambako...
Apple is holding one of its signature keynote events today in its hometown of Cupertino, Calif. Its latest iPhone, some sort of wearable device, and a payments system are expected. Here's how to...
Ni Samsung s4 mini - mpya sasa kila nikitaka ku connect kwenye Internet inagoma kabisa
Wenye ujuzi naomba msaada namna ya kui wezesha hii simu kupata 3G Network.
Wanajamii,
Naomba msaada.
Rafiki yangu amepata ajali na kupooza miguu yote hivyo kutoweza kuendesha gari. Naomba kama kuna mtu anayeweza au anajua mtu anayeweza kumodify gari yake ili aweze...
Habari zenu wana jamiii.
Nilikuwa naomba msaada. niliagiza badminton racket and shuttlecocks from ebay last month. i received only shuttlecocks. when i contacted seller this is what he replied...
WanaTech.
Naomba msaada nina simu ya huawei y530. Nimewasha data ,na nina kifurushi cha internet lakini simu hairespond kila ninaposurf. Naomba msaada wadau please.
Kuna dogo nimemkuta maeneo ya home huku ana computer ya Toshiba ali install window 8 two month ago ila sasa hiv akiwasha computer inachukua saa moja ndo inafika kwenye zile tiles halaf ipo slow...
Aina mpya ya simu ambazo ni saa itakayokuonesha simu ya mtu anayekupigia kwenye ngozi yako
tumeendelea sana katika teknolojia kwa aina hii ya saa Riot ambazo zina uwezo wa kuona mesage za...
Habari zenu,
Natumia Samsung galaxy pocket imekua ikinisumbua sana.
1. ukiandka msg keyboard inakua kama haina sense yoyote, hii had nizme sim niwashe ndio inakaa sawa.
2. ukifungua app ina...
Habari za hapa wakuu,
Nilishut down laptop yangu aina ya lenovo g500 nilipokuja kujaribu kuiwasha inawaka poa kila kitu kinafanya kazi hata ukiweka cd inazunguka vizuri lakin screen haionyeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.