Habari zenu wakuu. Naomba aliye na kijiprogram cha kuactivate sauti kwenye xp na window installer 4.5 anisaidie link ya kudownload free.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Wakuu habari za weekend,nimewahi fanya manununzi kwa ebay nikafanikiwa bila tatizo.ila kwenye amazon nashindwa please naombeni nieleweshwe procedures jinsi ya kununua vitu amazon
Ningependa kujua languages zilizotumika kwenye utengenezaji wa website ya JamiiForums pia na kama ilitumia service kama phpBB iliyotengenezwa kwa php. Pia na hosting yake inakuaje?
Salama wakuu.?
Nina tsh.400000 naombeni ushauri ninunue simu gani.
Nataka iwe mpya kabisa yani niitoe dukani..
Sifa:
Iwe android/ios/bb10 os,windows..
Isiwe Samsung,Huawei au tecno...
Nimejaribu kutumia hii GOOGLE GEOLOCATION SERVICE kupata latitude na longitude za miji ya Tanzania.
Kwa bahati mbaya inarudisha
Latitude is -6.822921°
Longitude is 39.269661°
kwa miji mitatu...
Ofisini tumepewa laptop za dell za touch screen.
Sasa kuna kifaa kipo kama moderm kimeandikwa Mobile Broadband 3.5G USB stick. Ni kitu gani hiki maana sioni mahali pa kuweka line kama moderm...
Amani na-iwe-kwenu
Kama kichwa cha ombi langu kinavyosomeka hapo juu,naomba wajuzi wa tasnia hii ya teknolojia ya simu na wale ambao mmebahatika kuitumia simu tajwa nimfahamishe uwezo wa Tecno...
Na Laptop yangu HP pro book .
Ilianza tatizo gafla tu.
ukiwasha inafanya Window Repare . niliiongoja usiku mzima onaload kale kamstari kanafika karibia na mwisho inaanza upya .
Kupeleka kwa...
Naombeni mnisaidie wenye uelewa na swala hili ili niweze kuidisign vizuri blog yangu. Jinsi ya kuziweka habari katika mpangilio wa home, habari za kitaifa, kimataifa na siasa katika blog
naomba msaada kwa hili:
Nilikua natumia ving'amuzi viwili kwenye TV moja, DSTV na Startimes, nilisafiri sasa nimerudi naona inaonyesha DSTV tu na startimes inakua kama haijaunganishwa na TV...
Habari wakuuu nadhani mko vizur kabisa
Juz kati nilikuja na uzi unaohusu kubadili jina kwenye page za facebuk zenye like zaidi ya 200 lakin sikuchoka kugoogle na nimepata pa kuanzia..
Website...
siku hizi kumekuwa na ongezeko la bidhaa feki kila siku , bidhaa hizi maarufu kama bidhaa za kichina zimekuwa kero kwa watu wengi,leo ningeingia kwenye simu za mkononi aina ya samsung galaxy...
Wakuu kwenye computer yangu nina Operating systems mbili. Natumia Window 8 as primary OS na Ubuntu as secondary OS.
Nimeinstall Ubuntu (gnome flavor) on top of window OS and everything works...
Habari za saa hizi wana JF Poleni na majukumu
Naomba msada wenu cku hadi cku nimekua nikidownlod android sdk card kwenye pc ila imeshindikana jitihada zangu
Hazijazaa matunda
Naomba msada wenu...
Kwa muda nimekuwa nikitumia windows phone, hasa Nokia Lumia, hii simu kwenye OS ilikuwa Ni shida Sana hasa kwenye internet sharing since Lumia amber mpaka Lumia Black, hizo zilikuwa na lot of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.