Nipo hapa napiga mzigo mmoja hv!
Natumia laptop hp elitebook ya ofisi moja hv ya mshikaii wangu, mara taaa sauti ya laptop haipo!
Nikicheza cd sauti haisikiki!
Nikiwasha na kuzima hakuna sauti...
Ndugu zangu kunajamaa kanambia kwamba simu kenya zinauzwa bei rahisi sana kuliko tz. Mfano hizi smart phone ndogo za sumsang anasema ni kama sh 4500 ya kenya. Is this really true? Jamaa ni mkazi...
Kutumia whatsapp kwenye simu za nokia nilizotaja hapo juu imekua ni changamoto kwa sasa, mimi binafsi natumia nokia x hvyo natoa maelekezo kusaidia wanajf leo.
1.ingia kwenye...
Hi jf members, am using tecno p3 I always do use opera min to browse but since yesterday am trying to access internet using this opera min but ending unable to connect. pls i need your help.
wadau wote mzigo upo wa kutosha ni kwa mtonyo ule ule wa 6000/ kwa mwezi.
najua wapo ambao hatuelew kma hujaelewa ni pm au ni chek kwa 0759212578 watsup 0688148836
karbuni sana
Programme gani naweza kutumia katika kuunganisha video au video editor. Kuna video nataka kuziunganisha nitumie app gani? Kifaa nacho tumia ni Kompyuta.
Wakuu habari za muda nimekua na tatizo kama hili la meseji ambayo ilishatumwa hata siku mbili zilizopita inakua inaendelea kuingia hata siku tatu mfululizo mbele na si kwa simu hii hata tecno m3...
Wadau wa mac osx, IDM inapiga kazi kwenye mac kama kawaida, uachotakiwa kufanya ni ku-install crossover kupitia hii app utaweza ku-install baadhi ya windows apps kwenye osx yako na zika run poa...
Habari wakuu.
Vodacom Tanzania wana hii huduma yao inaitwa Sokoni. Inakuwezesha wewe kuuza au kumpata muuza bidhaa uitakayo kama vile simu, gari au ajira. Hii huduma ukitaka kupost tangazo ni...
wadau,
Nimesaidika mengi mno kupitia kwenu na sasa naombeni msaada wenu kuhusu hili.
smartphone yangu aina ya tecno S9 imegoma kabisa kusoma sim card na nimeshindwa kabisa kugundua tatizo na...
Wakuu nimejaribu ku google, nimesoma maelekezo ya namna ya kupata internet kwenye Laptop kwa kutumia connection iliyopo kwenye smart phone, yaaani "tethering" but sikufanikiwa.
Naomba maujuzi...
Ama kweli ndama wa maskini hazai, akizaa huzaa dume. Nilikuwa na shauku Sana anko wangu aliponijulisha kuwa ataniletea simu kali. Hamadi, siku wa siku nikaletewa HTC one m7. Kuweka laini naambiwa...
Jamani mwenye ujuzi katika hayo mambo apo mawili naomba tupeane elimu jinsi gani hivi vitu vina weza kutengenezwa! Maana kuna project nataka kufanya na ivyo vitu vimo
Nawasilisha kwenu waatalamu...
Amani kwenu wanajamii forum naomba mwenye kujua jinsi ya kubadilisha password ya gmail anielekeze tafadhali nimeitumia muda mrefu ila sijui kuibadilisha maana napenda kubalisha kwa usalama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.