Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jaman nina iPad mini haina App ya call nifanyeje ili niweze kua napiga simu maana ina sehemu ya kuwekea Sim Card plz nahitaji sana msaada wenu..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu.. Naomba kufahamu android application ya kutuma sms bure kwa mtu yeyote hata yule asiye na hiyo application au asiye na smartphone kabisa.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naamini mmenielewa nahitaji msaada wenu Natanguliza shukrani!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji sana hii service for backup kuanzia 10gb hivi
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu hizi TV zinanikera sana.. Kwa yetote anayejua jinsi ya kuzifuta TBC na clouds TV kwenye star times anipe msaada nifanye hiyo kazi mara moja..!! Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Wakuu habar za kaz,, natafuta iphone 5s iliyo fungwa kwa icloud tufanye exchange na lg optmus l9, naitaji kutumia kama spea. For more info. My no. 0769038065
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Kila nikijaribu kufanya factory reset ya hii simu kwa kutumia njia ya kawaida yaani up, down na off, on button inashindwa ku wipe all data yaani inarudi kwenye hali yake ya awali ambayo imefungwa...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Naomba anaejua anisaidie kwani simu yangu ni samsung na inatumia android. Opera mini browser haiconnect internet lakini browser zingine zinafanya kazi. Sasa ni siku ya tatu na nahisi labda...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Na wasabahi wote hapa. Usaidizi wakuu, kwa yeyote mwenye firmware-upgrade file ya satelite receiver DVB-S2 SPHE 1512 STB. Nilikuwa nafanya upgrade FTA receiver yangu, kwa bahati mbaya file...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamvi nilikua nataka kujifunza niatawezaje kumtumia mtu link kama wanavotuma watu kumtumia mwengine humu jf Msada unahitajika Natanguliza shukrani jf
0 Reactions
3 Replies
760 Views
Habari zenu wanajamvi, Nina cm yangu htc desere android v2.2.2 nimekua nikifanya jitihada kui Root cm yangu ila ngoma ngumu Nimedownlod kwenye pc yangu kingo root app ila imeshindikana nimejaribu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu niliedit file la human player kuweka "cheats" nikatumia notepad. Sasa kitu kimegoma kabisa kufunguka. Linanambia "invalid qvm format in file "humanplayer..." Msaada kwa mwenye maujanja...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Msaada wenu wanajamvi..haikubali cd wala radio ya kawaida..kuna mtu alichezea ikazima..kuwasha ndo hivyo..
0 Reactions
1 Replies
2K Views
poleni na majukumu wadau. sasa nimeamua kuuliza humu hii samsung yangu mtu anaweza kukutumia sms ikafika vizuri bila shida tatizo message hiyo hiyo inaweza kuendelea kuingia kwenye simu ata siku...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za leo wanajukwaa. wadau naomba msaada kwa anayejua tatizo la simu kuji duplicate sms. Simu yangu ni samsung duos GT-S5303. Shida inakuwa ninapotumia sms moja inakuwa inajiduplicate...
0 Reactions
0 Replies
704 Views
Nimeona kwenye series mbalimbali hasa za wakorea kuwa wana taa automatic ambazo wakiingia ndani tu zinajiwasha na wakijiegesha zinajizima jee ni wapi InauWa au nani anaweza zitengeneza and what is...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
wanajamvi najua humu watu wanauza maduka ya cm pengne ni wamiliki wa maduka hayo,mimi nina sh.250000,nawezapata cmu tajwa hapo juu bland new,ahsante.
0 Reactions
3 Replies
803 Views
Wakuu natumia Samsung Ace 2....hivi karibuni imekuwa na mtindo wa kujirestart kila ninapopigiwa simu, appl ikistack na muda mwingine bila sababu yeyote inayoonekana, inajizima na kuwaka!! Naomba...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
tafadhali wakuu naombeni ushauri kati ya hiz smartphone iphone and samsung galaxy, alf nasikia sina huakika ni kweli et kwenye iphone kila software ukitaka kudownload lazma uripie. msada please wadau.
3 Reactions
51 Replies
15K Views
Nashindwa ku-download mafile yanayozidi 4GB kwa kutumia IDM. Nimejaribu kwenye Windows 7 both 64 bit & 32 Bit bila mafanikio. IDM yangu ni latest lakini pia ipo cracked. Nikibofya download link...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom