Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
mara kwa mara ninapofua nguo kwa washing machine zimekuwa zinaharibika kwa kupauka rangi kidogo kidogo mpaka unafika wakati nguo inakuwa imepoteza uhalisia wake hata kama nguo hiyo kwa instruction...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wiki 2 zilizopita nilichomoa flash drive toka kwenye laptop kabla sija-disconnect application, laptop ikazimika ghafla. Nilijaribu kuiwasha kama mara 5-6, ilikuwa inawaka na kuzimika baada ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Whatsapp imekua ni moja kati ya teknolojia inayotuunganisha marafiki. Wengi wetu tumenufaika na huduma zake mbalimbali ikiwamo GROUP CHAT. Hapo nyuma kidogo niliwahi kuanzisha group la marafiki...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Niaje ma boss, naomba msaada jins gani nitaweza ku unlock mordem mpya za zantel Huawei E303 zenye IMEI:861862006683149. Ikiwezekana kama unashindwa kuni fahamisha unaweza japo kunidip throug...
0 Reactions
2 Replies
795 Views
Natafuta android phone yenye side slide keyboard,mwenye nayo aniPM au apost hapa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii simu yangu ina tatizo la kupokea sms. Mtu anaweza kunitumia sms ikaonyesha delivery report lakini kwangu isiwe imefika kwa wakati huo,ikafika baada ya siku 1 au 2 hata 3. Hasa sms za...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF nina CCTV ambazo zinatakiwa kuunganishwa kwenye internet ili nikiwa kwenye misele mingine niwe naona nini kinaendelea dukani. Kwa faida ya wana JF wengine waweza unaweza weka details zako...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf! naomba kuelekezwa namna ambapo naweza kupata free channel ktk king'amuzi cha Zuku.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
News Trojan virus secretly uses Tor network to hide bitcoin extortionist July 27, 2014 10:44 AFP Photo / Hoang Dinh Nam An unusual ransomware Trojan, discovered by cybersecurity experts last...
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Wadau wa IT niliroot simu yangu nikafanikiewa. Nikataka kubadili font, kwa kutumia font installer waliniambia ni backup nika ignore. Ilipo maliza wajaniambia ni boot ili effect ionekane...
0 Reactions
2 Replies
965 Views
Tazamaa hiyoo Pichaaa...uniambie nn Tatizoooo
0 Reactions
3 Replies
966 Views
tecno F7 inaniandikia "storage space running out" "some system functions may not work"....wadau hii inapelekea hata emails kutoingia wala kutoka. nimejitahid kufuta sana contents nyingi sana...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimenunua simu ya iPhone s5 Switzerland. Nashindwa ku install free app kwa sababu sina account kwa ajili ya billing ie manunuzi ya app nikihitaji. Nimetengeneza Apple account na nimei activate...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nataka kufanya setting za mobile hotsport inaniambia unfortunately setting has stopped hata nikireset bado ipo hivyo hivyo. pia nikita kuweka hotsport inaniambia verizon lte card undetected...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau kama kuna application ya jf ya nokia asha 311 tafadhali nielekezeni niipakue ...
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Samahani! Tafadhali naomba kusaidiwa namna ya ku activate account yangu ya Apple. Nina iPhone S5 nimenunua Switzerland last wk. Nimetengeneza account ya Apple kwa ajili ya iTunes na Apple store...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Hi wadau,nina nokia X bt nashindwa kuingia wattsap inakaataa inasema phone haisapot.naomba msaada
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu zanguni naombeni maelekezo,uwezo na sifa za HTC wildfire (kama nimelikosea jina utanirekebisha) maana inakataa kudownload application zaidi ya tatu pia tango inakataa kufanya kazi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, ninaomba msaada kwa mwenye hii kitu. Natanguliza shukrani
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Mwenye uwezo wa ku unlock nokoia model 105 imei : 357267050089014 naombeni mnisaidie unlock code zake waheshimiwa
0 Reactions
2 Replies
924 Views
Back
Top Bottom