wandugu naombeni msaada wa kujua jinsi ya kuactivate 3G internet kwenye sim yangu mpya ya Samsung S4.nikiwa ofisini ndio naweza kuaccess internet maana hapa ofisini kwetu kuna wireless...
ADIDAS YATOA MPIRA WENYE SENSA (SMART BALL)
By Mwandishi Wetu
23:30
Kampuni ya adidas wametoa mpra wa miguu ambao una uwezo wa kutoa takwimu za mchezaji na kupeleka kwenye gajaeti za iOS...
Habari za asubuhi wakuu!
ninahitaji msaada wa ku update aidha firmware ya tablet yangu au android kutoka 3.2 ya sasa hadi 4 hivi ili niweze ku install whatsapp na niweze pia kupata access ya...
Habari ya leo Wakuu!
Siwezi kuaccess contacts kwenye simu wala kupiga. nimefanya factory reset ila bado tatizo liko palepale. ukifungua contacts au call log inaandika "The application contact...
Ndugu zangu wanajamvi nna shida sana na hiyo app yaitwa PdF au adobe lakini kila niitafutapo naambiwa nilipie, hiv hakuna njia nyingine ya kuipata pasi na kulipia kibaya zaidi wataka nilipie kwa...
Mimi ni mwalimu ninashida ya templets ya excel ambayo ukiingiza matokeo ya mtihani inapanga grade na division bt iwe inagrade kwa mfumo wa sasa {Daraja A,B,C,D,na E}
Wadau habari zenu,
Nina tatizo nikimtumia mtu mail kutumia accnt yangu ya gmail nikiwa nime-attach document inakuwa ina-fail kupokelewa.
Mfano kama ninamtumia mtu ambaye yupo orgnztn fulani...
Wadau nahisi mko POA
Kwa wale wenye uzoefu nahitaji kujua ubora wa magari used imported toka JAPAN versus DUBAI kwa magari ya aina zote.
Ni zipi zenye ubora na maisha marefu, kustahimili njia...
FACEBOOK KUTUMIA NDEGE ZISIZO NA RUBANI NA SETELLITE KUSAMBAZA INTERNET
Theluthi ya idadi ya watu wote duniani haina access na Internet. Facebook tayari ina zaidi ya watumiaji bilioni 1, lakini...
project ara ni kazi mpya ya google ambayo lengo lake ni kutengeneza simu ambayo itakua inaundwa na vipande vipande vya hardware mpaka inakamilika. project hii ilianzishwa na motorola lakini google...
Wadau nijuzeni ni vipi naweza ku-upgrade os ya simu kwenda version ya juu kdogo. Nijuzeni kama kuna softwares zinazotumika, link nnapoweza kuipata na madhara yanayoweza kujtokeza kwa process...
RUFUS CUFF: HII NDIO SAA TUNAYOITAKA?
By Mwandishi Wetu
09:21
0 comments
gajeti, Mwanzo, Saa
Smartwatch na gajeti nyingine za kuvaa mkononi ziko katika njia panda huku kampuni mbali...
Wanajamvi speed ninayopata musoma mjini kwenye tecno n3 yangu ni noma nashusha movie kupitia torrent app ya Mb256 kwa dakika 10 yaan nahisi miujiza lakin nilipokuwa arusha Mb 256 nashusha kwa...
Ninatafuta, mafundi wanaofanya repair ya Electronics Arusha mjini. Tafadhali ninaomba namba zao za simu. ninahitaji hawa ambaye ana ofisi yake arusha mjini. Asanteni wadau
Wakuu naona leo nimekuwa mshamba, hivi unawezaje kulink cpu moja kwa desktop mbili? Kama hivi
Najua wako waliosomea haya mambo, ila kuwa mtu layman yani yule ambae anajua basics tu anafanyeje...
msaada jaman modem yng ya vodacom (hilink) inasumbua yan mtandao wake 3G lkn ukifungua hata jamiiforum yan kufunguka inakataaa kabisa bd cjajua tatizo n nn !!!! MSAADA JAMAN C ENJOY INTERNET KABISA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.