please JF nisaidieni namna ya kupata/kuziona namba za kin'gamuzi cha AZAM ili niweze kulipia kwa njia ya MPESA/TigoPESA?,kifupi mimi natumia kingamuzi cha STARTIME ila kuna ndugu yangu yupo mbali...
naomba niwajuze watumiaji wa simu za android wanaopenda kudownload muvi kwamba kuna application inaitwa "Any movie downloader"ni nzuri aisee kwa kudownload muvi zote mpya na zaman kwa mb chache 2...
Wakubwa, mimi nimepata Office 2010 lakini ni copy. Nimefanya installation kwenye desktop yangu, sasa nina siku nimepewa alert kwamba nimebakiwa na siku 3 na kama sikuweka activation code itakuwa...
When Google revamped the look of Google Maps for iOS and Android, users were upset about the lack of traditional features. Some users were so upset, the option of reverting to a much older...
Salaam JF pipoz.
Kuna baadhi ya websites na Blogs huwezi copy ama ku-save picha, articles nk hata ku- highlight articles huwezi. Sababu ni right click option is disabled ukijaribu ku-right...
Computer yangu hua inajizima ghafla lakin screen hua na rangi ya blue wakati mwingine rangi nyeusi au nyeupe,niki istart inaendelea kufanya kazi kama kawaida kwa mda alafu tatizo linarudi...
hey guys! i bought a chineese phone from karikoo and someone configured internet for me and i paid 5.00/= now imepkata tena hata nikiweka bandle zii.
naombeni msaada
kama kichwa hapo juu kinavyojieleza shida yangu nikutaka kupost video hum janvini nifanyaje??
mfano nimerecord video naipo kwenye memory card nikitaka kuibandika hapa jamvini nifanyaje?
Wadau,
jana nilikuwa na field trip iliyokuwa na mateso kidogo na nilibahatika kupiga picha.picha hizo baadhi yake niliwarushia marafiki lakini kufika jioni hazionekani kwenye bali ni rangi nyeusi...
Wakuu naomba kusaidiwa kwa kufahamishwa jina la kifaa na undani wa teknolojia inayotumika katika vifaa vinavyo-interprete lugha katika kumbi mbalimbali za mikutano ya kimataifa. kwani mara nyingi...
Wanabodi!
Kwa muda nafuatilia sana jinsi mchanganuo wa hizi simu za Tecno, ila inasemekana kama mtu ukiwa kwenye eneo ambalo tunatumia EDGE inasumbua sana. Je kwa simu nzuri ya Huawei ambayo...
Wadau nna desktop yangu inazingua, kila nkiwasha kwanza inaniletea notification kuwa flopy disk failure then drive 4 and 5 are not available
Sasa tatizo lenyewe ni nikiweka modem, modem inawaka...
Naombeni msaada wenu wanajamvi,nina programu ya adobe photoshop 7 ila sina elimu nayo kwa wenye kunipa mwanga walao kidogo...
Natanguliza shukrani,
Tz12
napenda kuwapongeza kwa kazi ya kuelimisha umma
naomba kufahamishwa namna ya kusolve tatizo la sd card demaged maana 8gb yang haisomi kwenye smu naambiwa niireformat ila nkijaribu haikubali...
Background kwenye adobe photo zimejifunga na nimeshindwa kufungua kabisa. Nimejaribu kugoogle lakini njia ninazopata hazisaidii kabisa Ku unlock background. Nimejaribu Ku double click na kuweka...
Kumetokea wimbi la wizi wa kuforward message Feki za hizi mobile payments kama MPesa Tigo pesa etc.
Je hii inatokea vipi? Na njia gani ya kuzuia maana nahisi sio rahisi mwizi kufanikisha hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.