Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kwa anayeijua tafadhali naomba anisaidie hiyo code jamani.Asante.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nimekuwa nikitafuta sana njia ya kuroot lakini nimeshindwa, ikiwa yeyote anajua jinsi ya kuroot HUAWEI ascend y200 naomba anielekeze
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jaman PC yangu ina processor 2.8 lakin search engine yake inaenda slow sana wakat nasearch materials kwenye net.Hv tatizo ni nini wakuu na nifanyeje?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina simu yenye android lakini ninachoshindwa ona ni sms nilizotunza kama draft sms nilipokuwa natumia SIM kwenye hanset tofauti na hii inayokwenda kwa android. Nikitoa SIM hizo na kuweka kwenye...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Habari wana JF kuna Hili Kampuni naona Matangazo ao wakisema 4G LITE nini hasa hapa Tanzania?
0 Reactions
78 Replies
8K Views
Natafuta gearbox ya Mazda atenza 4http://www.beforward.jp/mazda/atenza-sport-wagon/bf200208/id/195758/
0 Reactions
1 Replies
919 Views
Mimi ni fundi wa vifaa vya electronics,lakini nimekuwa nikibishana na mafundi wenzangu kuhusu Generator kwamba inapokuwa na mzigo mkubwa(vifaa vingi) ndivyo mafuta yanavyoisha haraka? Kwa uelewa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau Nina HP Server DL360 G7 ambayo imepata matatizo na haiwaki..ila kuna data ambazo zipo very sensitive kwenye hard drive zinatakiwa by today!!!!...naomba msaada wa anayeweza kutoa huduma...
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Your mobile device is… your library, book, tutor and.....more. Share these free Android apps with anyone who may benefit...
0 Reactions
0 Replies
743 Views
wanajamvi anayejua jinsi ya kuroot aina hii ya simu anisaidie steps tafadhali :yo:
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Huwa nashindwa kutambua pahali pa kupost ama kufanya reply, with regards.
0 Reactions
2 Replies
946 Views
Wadau wa jf najua humu ndio kila kitu.Mimi nataka kujua jinsi ya kutumia simu yangu kama gps receiver.Mimi natumia TECNO M3.Natanguliza shukrani kwa atakaye nisaidia.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau, nina hiyo laptop tajwa hapo juu ukichomeka adopter taa ya kwenye adopter inazima. Kwa mliowahi kutana na tatizo hili au kufahamu namna ya kulitatua tafadhali msaada wenu unahitajika
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Jumapili nimejiunga na kifurushi cha yatosha cha wiki namaliza kujiunga mda huo huo mb zikawa 0 nikawapa taarifa na mkakiri tatizo hilo lipo mkasema system yenu ya data inazingua ila mtarudisha...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Msaada mwenye software ya point of sale(pos) inaweza ku track stock
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau kuna hii offer toka tigo. Angalia attachment/ picha. Ni sms bila kikomo hadi tarehe 11.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau je naweza pata msaada
1 Reactions
3 Replies
2K Views
kwa yeyote anayejua jinsi ya kuupload video to youtube jamani naomba anijuze mana na video matata
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wakuu nimefungua blog sasa naomba mnielekeze jinsi ya kupata matangazo ya google.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba msaada jinsi ya kufanya ili king'amuzi cha star times kirudishe channel za hp tz nimejaribu auto search pia kimekataa,zilipotea baada ya kufanya manual search kwa code 531,hope nitapata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom