Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hallo nnahitaji Receiver ya Qsat Q13G. Mwenye nayo naomba ani-PM
0 Reactions
3 Replies
1K Views
yan nikitumiwa sms moja inajirudia zaidi ya mara 5,sasa tatzo n nn hasa
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari ya jioni wana jamvi..... ninaombeni msaada wa kuifungua simu aina ya LG niliweka pattern sasa nikasahau nikazidisha kujaribu HATIMAYE IMEJILOKI... INATAKA NIWEKE EMAIL NA PASSWORD, Lakini...
0 Reactions
37 Replies
9K Views
kwa sbabu nimekuwa nikiona thread nying za imdb humu na mm nikaamua niidownload ila lkn nimeshindwa kuitumia so msaada wenu naombeni mniekeze na mi nijue sbbu inaonekana ni app bomba kweli
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Je wewe ni mpenzi wa Documentaries? Je upo nyumbani bored? Kama jibu ni ndio. Ingia kwenye hii link kuna Documentaries zaidi ya 2,000 zenye quality ya 720p na 1080p...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Wanajamii. hivi wapi naweza pata nokia lumia 1020 Original yenye 41 megapixel. Je bei yake ni kiasi gani hapa dar? thanks
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau hivi window 8 haihitaj ant virus?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nahitaji kununua printer yenye uwezo wa kuprint,kusacan na photocopy.Je,ni aina gani ni nzuri nisaidieni ili nisiingie mkenge.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimechukuwa form ya kujiunga na internent bank ili niweze kufanya online transaction sasa hapa chini kuna nafasi tano za account to be linked unazipataje
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wataalamu wangu wa hapa JF, KIchwa cha habari hapo juu kinahusika sana. Naomba kuelekezwa jinsi ya kuunganisha internet kwa USB MODERM, kwa upande wa wireless haina shida kabisa. Natanguliza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nina compaq presario ilikuwa na windows vista nikabadilisha nikaweka ubuntu lakini USB ports zote hazikufanya kazi baada ya kubadilisha, sasa nataka kurudisha vista inashindikana, nimejaribu...
0 Reactions
0 Replies
594 Views
Kwa yeyote anayejua kifurushi kizuri cha Tigo cha mwezi: tafadhali nisaidie. Nipige namba gani?
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Jamani tuchangamkie hii huduma kwa wale wenye kuhitaji safe storage of files https://db.tt/dDCR3AMk
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba msaada hivi sasa nashindwa kusoma wavuti za Facebook na Jamiiforums kwenye laptop yangu ni mara chache sana zinaweza kufunguka,hili tatizo limeanza karibuni tu hasa baada ya spidi ya...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Tafadhali naomba mnifahamishe ni wapi arusha naweza kupata tecno phantom pad N9 kwa bei rahisi kabisa. Natanguliza shukurani,,,,
0 Reactions
0 Replies
777 Views
APPLE MBIONI KUINUNUA BEATS By Mwandishi Wetu 20:59 Teknolojia Kampuni ya Apple imo mzungumzoni kuinunua kampuni ya Beats Electronics watengenezaji maarufu wa headphones na watoaji huduma...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna jamaa anataka aniuzie simu 1 kati yati ya hizo 2 tajwa hapo juu tena kwa bei 1,wadau nishaurini nichukue ipi?
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Habari za jioni wanajamii? Naomba maoni yenu juu ya hizi power bank zinaitwa Techmate zenye mAh 10000. Hapo napenda kujua ubora wake na vitu kama hivyo... Nimejaribu kupitia kwenye mtandao wao...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nimejaribu chaji 3 tofauti za tecno P5 but imeshindikana. Msada please!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu.. Naomba msaada wa kiufundi kwa yeyote aliye na uzoefu na hili tatizo. Nataka angalia hulu,netflix au iplayer nikiwa hapa Tanzania. Kama mjuavyo pindi unapoingia tu kwenye...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom