Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habarini wakuu, Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. PC yangu aina ya Hp intel i5 vpro ina shida hasa pindi unapoiwasha inaandika activated window setting sijui inashida gani. Msaada...
0 Reactions
4 Replies
616 Views
Jamani naomba kuuliza ubora wa hizi TV za goodvision made in China ukilinganisha na goodvision made in Korea DeepPond leta majibu
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mission za mwisho kwenye gta v zinatokana na maamuzi yako utakayoamua kufanya kwa watu utaoamua kuwaua. Ukichagua kumuua Trevor Philips, mission inaitwa something sensible Ukichagua kumuua...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Mamlaka za Uhispania wiki hii zilitangaza kukamatwa kwa watu 40 kwa kujihusisha kwao katika genge la uhalifu lililofanya ulaghai wa benki, kughushi nyaraka, wizi wa utambulisho na utakatishaji...
0 Reactions
2 Replies
448 Views
Hi wadau naombeni solution WhatsApp yangu imefungwa
0 Reactions
3 Replies
767 Views
Taarifa iliyotolewa Wiki hii kutoka kwa Mmiliki wa Twitter, Bilionea #ElonMusk, mtandao huo utaanza kuzifuta akaunti zote za watumiaji ambao hawajaingia kwa zaidi ya siku 30. Awali, Sera ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu kuna kamchezo naona kakifanywa na baadhi ya watu kuunga kifurush cha vodacom cha ofa ya watumia vodaphone. Kwa kawaida huwa walionunua voda phone kuungiwa kifurush hcho kwa kutumia IMEI ya...
2 Reactions
66 Replies
17K Views
Dkt. Geoffrey Hinton Dkt. Geoffrey Hinton moja kati ya waanzilishi wa mfumo ambao umefanikisha kuunda Akili Bandia kuanzia mwaka 2012 akishirikiana na wanafunzi wake wa chuo cha Toronto ni...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari yenu wana jamii, naomba kupewa ushauri, nina bajeti ya 500k je ni TV gani nzuri ya brand ipi na ukubwa upi itanifaa kwa bajeti hii? Kwani siku hizi brand zimekuwa nyingi sana
2 Reactions
55 Replies
4K Views
Najua kukaa kimya ndio ujinga au ushamba mi nahitaji kujua ndio maana nimefunguka. NAWASILISHA.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Elon Musk amemteua Afisa Mtendaji Mkuu mpya wa Twitter, ikiwa ni zaidi ya miezi sita baada ya kuinunua kampuni hiyo ya mitandao ya kijamii. Bilionea huyo amesema Linda Yaccarino, mkuu wa zamani...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu hbr za majukumu. Naomba ufafanuzi namna ya kudownload vitabu mtandaoni.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakubwa Habari zenu! Samahani sana naomba kufahamishwa kama kuna namna yeyote ya kuweza kuaccess vitabu online maana napata sana shida vitabu vingi vinafunguka but wamevizuia kudownload...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
========= Google will mark its AI-generated images, show labels in Search AI-generated pictures be used for nefarious purposes, and Google is combating that with markings, labels, and “About this...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari ya uzima. Kuna vitu nilikuwa na screenshot kwenye simu kisha naa upload kwenye Google photo. Ila sasa baada ya kuflash simu sizioni kwenye Google photo. Je nawezaje kuzipata? Nikitaka...
0 Reactions
5 Replies
757 Views
Habari ya wakati huu wana JF, nimekutana na matangazo ya hawa jamaa wanaouza simu used from Dubai wakiuza simu ya google pixel 5 kwa bei nafuu ila wanasema ina RAM ya GB 6 na kwa ninavyo fahamu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari, nikiwa kama junior na beginner kabisa kwenye industry ya tech naomba kuelimishwa kwa lugha nyepesi kidogo Maana kamili ya API kama tunavyotumia kwenye programming!!! Asalaam! Kwenu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Tokea jana usiku naona alama ya Volte, wamezindua nini?. Volte(voice over lte) ni huduma inayokuwezesha kupiga simu kupitia 4G network. Moja ya faida zake ni sound quality nzuri sana.
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuvuja kwa data na mashambulizi ya mtandao yanazidi kuwa jambo la kawaida ulimwenguni. Ili kulinda kitambulisho chako mtandaoni na taarifa zako kibinafsi, ni muhimu kutengeneza nywila yako bora...
0 Reactions
6 Replies
967 Views
Tairi au gurudumu ya ndege imeundwa kustahimili mizigo mizito kwa muda mfupi. Idadi ya matairi yanayohitajika kwa ndege huongezeka kulingana na uzito wa ndege, kwani uzito wa ndege unahitaji...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom