The US National Security Agency (NSA) is reported have cracked the security codes which protect data on iPhones, Blackberries and Android devices. German news weekly Der Spiegel says documents...
Wanajf naomba kuuliza kama kuna yeyote mwenye uelewa kama kuna sehemu naweza pata screen ya Iphone 4 iwe Arusha au Dar es salaam
and how much is it?
Maana kuna moja nnayo screen yake imepasuka!
Natumia simu ya tecno l3 yenye ram 512mb sasa tatizo lililopo ni kwamba running applications zinakuwa nyingi kiasi cha kuchukua sehemu kubwa ya ram jambo linalopelekea simu kuwa slow kwa nyakati...
PICHA YA NDEGE ILIYO UNDWA NA DENIS
Kijana wa kitanzania ambaye pia ni mwanafunzi wa Chuo kikuu cha
Arusha aitwaye Denis, amefanikiwa kuunda ndege ya
abiria. Kijana huyo alianza kuiunda...
vp wana jf habari zenu! Anaezijua vizur hizi simu za ZTE-G X930 anifahamishe kdgo zipo katika mfumo wa android au ni kawaida tuu? Jee zina uwezo wa ku support whatssap? Msaada tafadhal
Wakuu habari za majukumu natumai mko poa tafadhalini nisaidieni nifanye nini ili simi yangu hii irudi ktk hali yake ya kawaida
Aina ya simu ni Samsung Gallaxy Note2 GT-N7100
Tatizo la simu ni...
Download na install hii program 'Folder Colouriser' , file size 1.43mb Toka hapa http://softorino.com/deploy/FolderColorizerSetup.exe
Muonekano wa folders KABLA
Muonekana wa...
Sunday, October 09, 2011
Jobs had a public war of words with Dell Computer CEO Michael Dell, starting when Jobs first criticized Dell for making "un-innovative beige boxes". On October 6, 1997, in...
Wakuu ktk pita pita zangu humu mitandaoni nimeona hizo ndude hapo juu.Nataka kujua,kwa matumizi ya kawaida,ni ipi kati ya hizo iko vizuri zaidi ya nyezake.
Inavyoonekana bei zake ni cheaper...
Wadau
nimejenga eneo ambalo umeme haujafika bado na sidhani kama utakuja hivi karibuni so nilikuwa nataka kutumia nishati mbadala ya umeme sola pawa.
Nahitaji sola inayoweza kuwasha taa 12 (sio...
Nahitaji laptop mpya hasa iwe Toshiba Satelite Series. Itakuwa poa kama itakuwa White coloured or Milky, Iwe na RAM ya kawaida tu hasa 2 to 3GB, Intel@i3 Ghz ntaipenda zaidi. HDD 500 to 700GB...
ndugu wana JF habari zenu .najtokeza tena kwenu kuomba msaada/maelezo ya kina jnc ya kuckiliza onlne radio kupitia tecno n3 tatu kupitia mising ifuatayo *ni sehemu au link ip n2mie *gharama za...
BlackBerry might spin off its BlackBerry Messenger service. Also: The New York Times is hacked, apparently by the Syrian Electronic Army; Snowden is believed to have camped out at the Russian...
Gooday peeeoplesss!!
Hope mko fresh inshallah.
Nokia asha 302,
1) ukiingia internet inakwambia error 006.
2)ukidownload kitu inakwambia certificate notfound on sim o phone.
3) baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.