Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba kujua kabla sijanunua tafadhali. Na bei zake za dukani ata za mtumba itakua poa zaidi !
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisaidie bei ya samsung tab 2 & 3, kwenye duka la samsung dar es salaam, mlimani city,mimi niko nje ya dar es salaam
0 Reactions
0 Replies
996 Views
The US National Security Agency (NSA) is reported have cracked the security codes which protect data on iPhones, Blackberries and Android devices. German news weekly Der Spiegel says documents...
0 Reactions
0 Replies
612 Views
Wanajf naomba kuuliza kama kuna yeyote mwenye uelewa kama kuna sehemu naweza pata screen ya Iphone 4 iwe Arusha au Dar es salaam and how much is it? Maana kuna moja nnayo screen yake imepasuka!
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Natumia simu ya tecno l3 yenye ram 512mb sasa tatizo lililopo ni kwamba running applications zinakuwa nyingi kiasi cha kuchukua sehemu kubwa ya ram jambo linalopelekea simu kuwa slow kwa nyakati...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
PICHA YA NDEGE ILIYO UNDWA NA DENIS Kijana wa kitanzania ambaye pia ni mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Arusha aitwaye Denis, amefanikiwa kuunda ndege ya abiria. Kijana huyo alianza kuiunda...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
vp wana jf habari zenu! Anaezijua vizur hizi simu za ZTE-G X930 anifahamishe kdgo zipo katika mfumo wa android au ni kawaida tuu? Jee zina uwezo wa ku support whatssap? Msaada tafadhal
0 Reactions
2 Replies
931 Views
Wakuu habari za majukumu natumai mko poa tafadhalini nisaidieni nifanye nini ili simi yangu hii irudi ktk hali yake ya kawaida Aina ya simu ni Samsung Gallaxy Note2 GT-N7100 Tatizo la simu ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Download na install hii program 'Folder Colouriser' , file size 1.43mb Toka hapa http://softorino.com/deploy/FolderColorizerSetup.exe Muonekano wa folders KABLA Muonekana wa...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Sunday, October 09, 2011 Jobs had a public war of words with Dell Computer CEO Michael Dell, starting when Jobs first criticized Dell for making "un-innovative beige boxes". On October 6, 1997, in...
3 Reactions
85 Replies
8K Views
Wakuu ktk pita pita zangu humu mitandaoni nimeona hizo ndude hapo juu.Nataka kujua,kwa matumizi ya kawaida,ni ipi kati ya hizo iko vizuri zaidi ya nyezake. Inavyoonekana bei zake ni cheaper...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
jamani hizi television za ipp wamezipunguza signal au,maana leo cku ya pili sizipati kwenye setelite,signal 21%tu
0 Reactions
13 Replies
2K Views
YAANI UNAPATA dakika 20 sms 300 na bila kusahau megabytes 125 duh aise airtel ni baba lao
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Wadau nimejenga eneo ambalo umeme haujafika bado na sidhani kama utakuja hivi karibuni so nilikuwa nataka kutumia nishati mbadala ya umeme sola pawa. Nahitaji sola inayoweza kuwasha taa 12 (sio...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nahitaji laptop mpya hasa iwe Toshiba Satelite Series. Itakuwa poa kama itakuwa White coloured or Milky, Iwe na RAM ya kawaida tu hasa 2 to 3GB, Intel@i3 Ghz ntaipenda zaidi. HDD 500 to 700GB...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
how can i download vitual dj for nokia c6 bcoz i av tryed alot but they falled since their vision its too large
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Naombeni msaada jinsi ya kudownload nyimbo za band ya msondo. Nimejaribu waptrick sijapata au sijui mimi nakosea kuandika jina!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ndugu wana JF habari zenu .najtokeza tena kwenu kuomba msaada/maelezo ya kina jnc ya kuckiliza onlne radio kupitia tecno n3 tatu kupitia mising ifuatayo *ni sehemu au link ip n2mie *gharama za...
0 Reactions
6 Replies
977 Views
BlackBerry might spin off its BlackBerry Messenger service. Also: The New York Times is hacked, apparently by the Syrian Electronic Army; Snowden is believed to have camped out at the Russian...
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Gooday peeeoplesss!! Hope mko fresh inshallah. Nokia asha 302, 1) ukiingia internet inakwambia error 006. 2)ukidownload kitu inakwambia certificate notfound on sim o phone. 3) baadhi ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom