kampuni ya Microsoft imeinunua kampuni ya Nokia! ambayo ni maarufu kwa utengenezaji na usambazaji wa simu za Nokia..
Nokia imeshindwa kukabiliana na ushindani kutoka iphones na kampuni nyingine...
Wadau naomba kujuzwa, fastjet kutoka Dar kwenda Mwanza wanasema ni 320000(excluding taxes and charges) hivi wana maana gani? Inamaana kuna kiasi cha fedha ambacho mtu hulipa zaidi ya ile 320000 na...
Naomba msaada kwa wataalamu. Nimenunua iphone ya kichina nikaunganisha kwenye cpc. Imeshindwa kusoma. Ikawa ina install kwa muda mrefu baadaye pc ikaniambia your device failed to install...
Hosanna Studio is a PHP IDE that is one station for all your PHP Works. The application is tailored to make your production Quick, Easy and Effective by including only necessary tools. Its...
Kuna jamaa yangu anataka anipe moja kati ya hzo simu so kasema nifanye uchaguz...nimeona bora nikimbilie kwenu(hiz mambo mwenzenu sijawah tumia) wadau tusaidiane ili niwe nabrowse fasta hasa kwa...
wakuu nimedownloda whatsapp katika blackberry 9360, tatizo wakati wa kuverify no. Inaleta ujumbe huu "verification recquires a working wifi or cellular data connection, but we couldnt find...
www.tupomoja.com;Tupomoja.com, I dont know where the this website came from, I have never heard of it before I just came across it on facebook with more than 12000 likes and I wondered what was...
Wanajamii, ukiwa ni mtandao ambao lengo lake ni kukusanya kero na kuziweka wazi na pia kuzifikisha kwa wahusika, kuna mtandao wa serikali unaoitwa Wananchi , ingawa sidhani kama watu wanaufahamu...
HDMI 2.0 introduces support for 4K (2160p) at 50 and 60 FPS, 3D playback at 4K resolution, up to 32 audio channels (up from a paltry eight), and some interesting features such as dynamic auto...
nimepata gulf star na dekoda ya Mpeg4.
kwa FTA ni Position gan tapata Chanels Nzuri za Local?
mwenye ufaham anitajie position na baadh ya Chanel nzr tazoweza kuzipata. ktk hili dish dogo.
kila ninapofanya changes haziwi saved.nikitengeneza custom mpya.nikifanya transfer ya wachezaji zote haziwi saved nikizIma game nikiwasha inajirudi kama ilivyokuwa mpya mwenye kujua tafadhali...
Salam wakuu,
Natumia windows 7, sasa leo nilidownload norton partition magic ambapo baada ya kufanya installation nikajaribu kurun lakini ikawa inakataa (compatibilty issues). Nilijaribu kurun...
Ndio ni kweli google search engine inaweza kufanya barrel roll endapo utaiamrisha ifanye hivyo. Kama huamini nenda kwenye google search engine halafu kwenye kibox cha kusearch andika "do a barrel...
Wana JF.
Naombeni msaada wenu.. nina Iphone 4 lakini nina shindwa kufanya setting za email.. pia Safari inagoma kufungua internet.. ukiifungua tu inajifunga vivyo vivyo na Email.
Tatizo jingine...
warning kwa watumiaji wa iphone na mac za apple kwani kuna script iliyoandikwa kama kiarabu ukiipata kwenye simu yako basi ita-crush. script hiyo unaweza kutumiwa kama message au kuiload kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.