Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
gps
Natumi andoid kwa sasa nielezeni maana au gps inatumika vipi help please
0 Reactions
3 Replies
794 Views
Salaam wakuu, Juzi baada ya kupata majanga ya hard drive fail ilibidi nifumbe macho nakureinstall windows (good thing I had a backup drive). Sasa ishu inakuja baada ya kuinstall browser ya google...
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Wandugu, Natafuta hiyo kitu hapo juu, mwenye kujua inapitakana wapi hapa Dar pls anifahamishe. Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
a wakuu nilikuwa naomba msaada wenu juu ya hii kitu nilikuwa nai hitaji sana so sijui naweza ipatapata vipi .kuna sehem 1 nimeiona kwa fundi 1 hivi lakini nimejaribu kumuuliza kanibania kunambia...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuna simu moja nimeiona kwenye website moja kwa kweli iyo simu ni kali na bei yake iko poa, kwa yeyote ambaye anaweza nisaidia kununua . simu vyenyewe ni HDC One copy original ya HTC one kampuni...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
habari wanajamvi.. nimekaa nikajiuliza maswali kadhaa kuhusu watsapp na viber security zake ziko vp. hapa namaanisha kampuni zetu za simu zinawezaje kukeep record ya mawasiliano yanayofanyika...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Imetumika kidogo bei nauza sh laki 6 na nusu
0 Reactions
0 Replies
715 Views
this is the special offer from jahazi.net karibuni sana ni offer ya muda tu kwa yoyote anaetaka kutengenezewa website ni kuanzia 100,000 tu kwa bei ya laki moja inajumuisha pamoja na free domain...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza laptop kwa sh 370,000/- tsh,
0 Reactions
1 Replies
876 Views
Eti PDproxy inakubali kwa modem gani? au ni kwa zile tu zinazokubali kuji-connect hata bila kuwa na hela/bundle?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
How to Use a Windows PC as an Internet HotspotIt's a device-laden world out there, and that means we all have numerous Internet connections to maintain when we're out and about. One solution is...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Itaanza kupatikana tarehe 25 september sawa na samsung note 3 ambayo imetangazwa muda si mrefu uliopita,maswali ya kujiuliza katika wearable gadget hii ni kama vile je ina application za...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Why is Internet access still expensive in Africa?-By Tom Makau Early 2009, the African continent was heavy with expectation as several fiber optic submarine cables landed on its shores. This...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada nahitaji Ku-Download Mobile Game, Ila Nimekosa Website nzuri kwa yeyote anayejua Website nzuri Msaada!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natumia modem ya airtel model MF 190 tatizo inakuwa inakata sana hadi niondoe na kuconnect upya tatizo ni nini? na nifanyanye nini ili kuondokana na tatizo hili maana bundle hupotea kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
simu yangu ni nokia E-6 kuamkia leo asubuhi line yangu ya voda ilishishdwa kusoma kabisa network lakin nilivyojaribu line zingine(airtel,zantel,tigo) zilikubali na nilipoiweka ile line ya voda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Loon for All ? Project Loon ? Google
0 Reactions
0 Replies
697 Views
natumia samsung GT-c3312 kila nikidowload uc browser inakubali ila nikiifungua ili nianze kuitumia inaandika error nifanyaje ili niweze kuitumia hii browser naikubali sana?
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Back
Top Bottom