Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Juzi wakati Google wanatangaza kuzindua Jellybean 4.3 na Nexus 7 wamekuja na haka kakitu kwa ajili ya Ku stream video na audio moja kwa moja toka kwenye TV yako kutumia wireless na port yako ya...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimenunua Iphone 4 kama Mwezi mmoja uliopita, Nimekuta kuna version ya 6.1.3. Nataka kuistall Siri kwenye hii simu, Je nifanyeje au wapi naweza kwenda na wakaniwekea hii kitu? Kwenu wadau...
0 Reactions
3 Replies
967 Views
Aljazeera sports win Premier League rights Al Jazeera Sports revealed through screens Friday evening that acquired the global rights of the Premier League Al Jazeera Sports won the rights to...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
DISCLAIMER: This information is intended for experienced users. It is not intended for basic users, hackers, or mobile thieves. Please do not try any of following methods if you are not...
0 Reactions
2 Replies
731 Views
habari wakuu.naomba kujulishwa namna ya kuunga internet kweny simu tajwa hapo juu...natumia laini ya tigo
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau nimehamia sehemu kuna network ya wifi 24/7 tatizo inataka password natumia hp laptop os windows 7 msaada kama unajua jina au link ya softwares nzuri kubypass password nipunguze ukali wa maisha
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ikiwa huduma za VPN zinazidi kupamba motto na bei inazidi kushuka kabisa Na mm leo nakuja na DROID VPN kwa watumiaji wa Simu za Android na Tablets Utafaidi Unlimited internet kwa bei ile ile(mm...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Jamani naomba kuuliza; kwa sababu kuuliza si ujinga, na kila aulizae ataka kujua. Kuna hii MITANDAO mitatu; Skype, eBay na Amazon; Je kila mmoja kati ya hii MITANDAO mitatu unajishughulisha na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani wanajf nilikuwa naomba msaada juu ya huawei yangu iliyopata tatizo la kureboot tu haiwaki
0 Reactions
7 Replies
944 Views
natafta wateja wa simu hizo hapo juu S4 ni mpya kabisa. 5360 ni second hand......anaejitaji pls ntafte
0 Reactions
1 Replies
802 Views
Naomba kujua jinsi ya kutest (number) screen ya iphone au sumsung.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi guys, Naomba msaada. Hapa galaxy S betri ishakufa. Yaani ukicharge 100% haidumu 2hrs ktk 3G. Nataka enda kununua betri. Sijui nitaijua vp original? Na bei yake vipi? Msaada Please.
0 Reactions
0 Replies
761 Views
Msaada ndugu zangu nilikuwa na unloack zte mf190 kwa bahati mbaya nikafuta dashboad ya airtel ndipo nikaamua nii update firmware lakini baada ya ku update likaja tatizo kwani dashboad ilikuja ya...
0 Reactions
5 Replies
945 Views
Wadau kuna mtu anahack gmail acc yangu, nimecheck IP address yake nikiitrace namuona mara nyingi yuko Dodoma and sometime abroad. Nimechange passworld several times lakini wapi jamaa anaingia tu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa anaejua namna ya kujiunga na extreme za ttcl ili nipate mb na sms.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
http://Cashite.com/index.php?referral=1016
0 Reactions
1 Replies
755 Views
Kwa ambae anatumia, au ana ufahamu na simu aina ya Asha 311, naomba kufahamishwa matumizi au kazi ya kifaa/mfumo ulio wekwa kwa mbele ya hii simu umekaa mfano wa front camera lakini sidhan kama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina laptop dell latitude e5530 na ina internal modem. I.e. Ina sehemu ya kuingiza sim card. Nimejaribu jaribu ila nimeshindwa. Msaada tafadhali. U
0 Reactions
0 Replies
807 Views
jamani wandugu kuna hii kitu inanikwamisha msaada tafadhali,kwa mfano una vyumba kumi,ukitaka kuweka tv kwenye kila chumba na kila tv iunganishwe na dstv decoder yake,lakini hizo decoder za dstv...
0 Reactions
3 Replies
922 Views
nadhani watumiaji wa Airtel wanajua kuwa jana mtandao wa Airtel ulikuwa unasumbua katika kuingiza vocha, tatizo liliiisha hiyo hiyo jana lakini late sana watu wameshaathirika na tatizo. leo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom