KWA wale watumiaji wa android kuna application ya keyboard ambayo imenivutia sana. hivyo nimeamua kushare na wataoipenda kuijaribu. inaitwa multiling keyboard. kama kawaida
1. una install kwanza...
Nikifanya mimi napata kitu hii tokana na skills nilizonazo
But, natafuta skills zaidi nipate kufanya kama hii, yaani instructions like hapa weka your name zionekane
ndani ya Box, hapo ndo...
Habari za mchana,naombeni mnisaidie kwa anaefaham utatuzi wa swala hili,nna blackberry curve 2 (blackberry 9300) ambayo nimeinunua kwa mtu,tatizo nikitaka kudownload applications huwa inarequire...
Android 4.3, Jelly Bean
Android 4.3, an even sweeter Jelly Bean, is available now on Nexus phones and tablets.
Restricted profiles limit access to apps and content, at home with your family and at...
wajuzi saidia jaman. nilifanya factory settings kwenye simu yangu nokia c2-3 then memory card inadai password na sijawai kuweka password kabla. sasa anayejua namna ya ku unlock anisaidie mana kuna...
Wanasema Scammers walikuwepo hata kabla ya internet kuaza lakini Internet imewafanya wafanye kazi yao kwa umakini na uwezo mkubwa zaidi. Sasa Hivi Facebook ndo nyumbani mwao yani wamejaa mpaka...
Habarini wakuu! naombeni msaada kwa hili jambo! kuna hii kitu niliiona sehemu nayofanyia kazi kwenye computer za ofisini! ukitaka kufanya intallation ya kitu chochote kwenye computer hizo huwa...
Wanaume wawili wameshikiliwa na polisi kwa tuhuma za kutishia kumbaka mwanaharakati Cariline Criado-Perez kupitia ukurasa wa twitter.
yote hayo yalianza kutokana na kampeni ya kutaka kuwekwa...
habari zenu wapendwa. Naomba msaada kwa hili, natumia laptop ya apple aina ya macbook pro ambayo inaoperate Mac OS X 10.8 ambayo ndo miongoni mwa latest operating system za apple. Tatizo ni kwamba...
Kwa wale watu wa ma-gadgets and all that... Hii ndiyo orodha ya simu ambazo zimetambulika kuwa ndizo za gharama zaidi duniani kutokana na miundo yake pamoja na material yaliyotumika kuzitengeneza...
Nisaidieni wana jf. Ninapotaka kujua kwamba computer zilizo kwenye viwango vinavyotakiwa vya kimataifa, na zile ambazo hazina kabisa viwango vinavyotakiwa vya kimataifa, je ninafanyaje?
habar wadau,
Naomba msaada kwa mwenye utaalamu wa ku install window kwenye OLPC laptop, default window yake ni Ubuntu ila haina cd room na Bios yake bado sija isoma
Picha yake
Habari za kwenu wakuu!
kuna hizi adds-on za mozila nimetengeza kwa ajili ya wanaJF na wapenda michezo pia mnaweza kuzijaribu pia.. link zake ni hizi hapa
1...
Sory nilikuwa format my computer by using window xp2 inaendelea lakini inafika Sehemu mala naletewa ujumbe wa the computer has detected serious problem , any way kwa watu wa IT mnaujua ujumbe huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.