Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
kuna mtu alikuwa anataka huawei mobile partner ambayo unaweza kupiga na kuweka salio moja kwa moja, sikumbuki vizuri sikumbuki ni NingaR au leh , basi nimeona nishee na nyie hii hapa, hii sio...
10 Reactions
24 Replies
4K Views
ili kumake follow this link Cashite.com - Earn 3$ for every link opening by your friends
0 Reactions
1 Replies
849 Views
TECNO N3 specs N3 SPECS OS: ANDROID 2.3.5 G-PLAY STORE: OVER 500,000 APPS NETWORK: 2G & 3G(HSDPA+) DUAL SIM, MULTI HARVEST BAND: GSM900/DCS1800/WCDMA2100MHZ DIMENSION: 115*62*11.7mm...
2 Reactions
67 Replies
19K Views
Ukichukua mayai matatu mazima ya kuku ukayaweka kwenye kiganja cha mkono moja juu ya jingine katika mwelekeo mmoja wa ncha zake,yai lile la katikati litaanza kuzunguka...Ninaomba mwenye kufaham...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Wakuu juzi nilikuwa ile beach ya ocean road, nimeagiza dafu langu sina hili na lile...akatoke mhindi mmoja na gari aina ya Range rover....kwa kuwa kulikuwa na foleni kuelekea salender mwenye range...
2 Reactions
52 Replies
6K Views
jaman files zote kwenye PC zimegeuka juu chini, mpaka task bar, japo iko locked, please chief mkwawa na wengine msaada
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani nimei-download hii software ya private VPN na inaniamabia mtandao wangu uko private cha ajabu nimeshindwa kusain in kwenya my yahoo email mpaka nilipoi-offline. Naomba ufahamu zaidi kuhusu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni mwaka gani ulitumia computer kwa mara ya kwanza?
1 Reactions
60 Replies
4K Views
Naomba wajameni kama kuna mtu ana antivirus ya microsoft security essentials anirushie hapa
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wANAJAMVI MWENYE KEY(PRODUCT KEY) ZA WINDOW 7-ULTIMATE MSAADA TAFADHALI.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
mi ni mwanachuo mwaka wa tatu sasa..... najitahidi kutengeneza windows applications na android applications mwenyewe kwa kutumia java..... ila kwa sasa natafuta kampuni inayojihusisha na Java...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Toka jana vocha haziingii walituma ujumbe mfupi eti tuweke kwenye Airtel money...leo nimeingia Airtel money kununua salio inaniambia system is busy...sijaona tangazo lolote kwenye vyombo vya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba kufahamu bei halisi ya iPhone 4s 16GB ..... Msaada tafadahili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi jana nipishusha windo comuter mbili ila zipo connected kwenye network zinashea printer sasa nimemaliza ila nime plug in cable hazionekani nika create small office network ila...
0 Reactions
2 Replies
689 Views
Mods mniwie radhi kwa kupost hii hapa, imekaa ki-technical, hivyo nina imani hapa itakutana na wahusika, kule kwenye matangazo madogomadogo nimejaribu bila mafanikio. Nahitaji parts hizo hapo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mwenye hizo bidhaa ani pm tufanye biashara.hata used
0 Reactions
2 Replies
673 Views
naombeni msaada. Maana nimeambiwa all my dirt kwa internet yanajulikana coz natumia simu.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
za asubuhi wadau, leo asubuhi nimenunua umeme kupita m_pesa lakini cha ajabu ni kwamba nimetumiwa tokeni zikiwa hivi : sasa sijaelewa kabisa. msaada namba yao niwaulize, nimetafuta kwenye web...
0 Reactions
6 Replies
19K Views
You want to learn something but you don't have the inspiration to do so? read this post where i give some insight on how i got started click here to read
0 Reactions
0 Replies
858 Views
Habar wakuu? Samahan wakuu mlango wangu wa DVD room hausom CD na nina lengo la kubadilisha WINDOW. Kuna jamaa ameniambia Nichomoe HARD DISC yng aweke kwny LaPTOp yake ili apige WINDOW chin then...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom