Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau kama mnavyoelewa Vlc inapendwa sana na watu kutokana na uwezo wake wa kucheza aina mbali mbali za video na audio lakini kwa upande wa Midi files huwa inashindwa kucheza hivyo nimepata...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
wadau nina shughuli nataka kufanya na makampuni ya simu naomba kama kuna mtu anafahamu kampuni inayoweza kuniunganisha na makampuni ya simu (aggregators) anisaidie. nikipata lile kampuni amabalo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
This is a total inspection that includes: 1. Physical internal and internal check 2. Engine check 3. ECU scanning 4. Underneath check 5. Tyres, struts, nuts and bolts Finaly you will get the...
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Wadau nataka kununua bidhaa za electoonic hasa simu, kutoka nje ya Tanzania. Hii imetokana na ukweli kuwa maduka ya vitu vya Electronic hapa Bongo kustock bidhaa za Brand fulani pekee, kimsingi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mambo vp wazee msaada wa haraka jamani wa software ya Video converter mwenye nayo ambayo siyo trial nina muvi/series za ukweli sana nataka niziweke kwenye avi files.tafadhali mwenye msaada...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani nazani mnaona title inavyosema so kama kuna m2 anazijua poa 2saidiane bc
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Tumekuwa tukiandika sana juu ya umuhimu wa kuwa na Wavuti, hivyo kama kusikia wengi tayari wameshasikia na kuelewa umuhimu wake. Siku hizi kuwa na wavuti sio tatizo tena na si suala linalohitaji...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
nina laptop compaq 610 ina camera lkn nashindwa kupiga picha
0 Reactions
2 Replies
769 Views
Habari zenu mr and mrs nilikuwa naomba msaada wenu kwani mm nimewahi kutiliwa antivirus katika computer yangu lakini kwa sasa hana nguvu tena na ninaambiwa nimu update na namna ya kuupdate cjui...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba mnifundishe namna ya kuset satellite dish na receiver yake maana kijasho kinatoka hapa ni jipya kabisa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
To hit stores by end of year. I fear this would be end of privacy kabisa. Mfano, cheating husbands can be recorded and video streamed live to wife. Google Glass: what you need to know | TechRadar
0 Reactions
0 Replies
440 Views
nimetengeneza system kwa kutumia dreamweaver cs3 bt nashindwa kukonect na mysqldatabase nimetafuta code online kila nikijaribu zinanigomea xo nifanyeje hapo nimekwama wadau
0 Reactions
8 Replies
1K Views
How do search engines rank your web site? Title-tag Headings Image ALT-tag Hypertext Link TITLE-tag ni muda gani search engines like google yahoo or bing zinatumia kupata content ya website?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
km zipo madukani mi niko mwanza...cjui pa kuanzia.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari waungwana kama kuna mtu ana program za kuchakachua modem za HUAWEI na ZTE naomba aniwekee hapo chini nizibebe maana kutumia Line moja kumenishinda nakuwa sooooo LIMITED. Akhsanteni
0 Reactions
2 Replies
894 Views
Kwa mujibu wa mtandao unaohusika na utoaji takwimu za matumizi ya mitandao ya kijamii duniani ''socialbakers'', Tanzania ina watumiaji active (Monthly Active Users ''MAU'') 693,080 kila mwezi…...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari.. Kuna aina ya folders zimejicreate kwa majina haya SYSTEM VOLUME INFORMATION NA RECYCLE.BIN nikiweka flash vinahamia kwenye flash na nimejaribu kuscan ila hamna kitu naomben msaada wa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wakuu... Kila nikilog in napata hii message JamiiForums Message Invalid Redirect URL (https://www.jamiiforums.com/) Inanilazimu nilog in mara ya pili ili nifanikiwe. je tatizo ni...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Mnaonaje wadau tukiwa na board ya ICT kwaajili ya kuwatambua kisheria wanataaaruma ya ICT kama ilivyo kwa wengine kama Engineers Accountants Procurements
0 Reactions
2 Replies
710 Views
Habari zenu wakuu,nilikua ninaomba msaada kama kuna yeyote anayefahamu jinsi ku install application kwenye smart phone kutoka play store lakini application yenyewe inahitaji ununue.nitashukuru...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom